benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuongoza matembezi ya hiyari, ikiwa ni hatua ya kuunga mkono maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili na udhalilishaji wa kijinsia.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na taasisi ya Asma Mwinyi Foundation, ambayo ndiyo iliyoandaa matembezi hayo yatafanyika kwa kuzunguka mji Mkongwe wa Zanzibar.
Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Asma Ali Mwinyi, alisema azma ya matembezi hayo ni kuwafikia wanawake zaidi ya 100 pamoja na watoto ambao wana mahitaji maalum kufuatia kutekelezwa baada ya ndoa zao kuvunjika.
Asma alisema fedha itakayopatikana katika matembezi hayo itawasadia kuinuliwa kiuchumi wanawake paroja na Watoto wenye mahitaji maalum kutokana na uhitaji wao.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na taasisi ya Asma Mwinyi Foundation, ambayo ndiyo iliyoandaa matembezi hayo yatafanyika kwa kuzunguka mji Mkongwe wa Zanzibar.
Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Asma Ali Mwinyi, alisema azma ya matembezi hayo ni kuwafikia wanawake zaidi ya 100 pamoja na watoto ambao wana mahitaji maalum kufuatia kutekelezwa baada ya ndoa zao kuvunjika.
Asma alisema fedha itakayopatikana katika matembezi hayo itawasadia kuinuliwa kiuchumi wanawake paroja na Watoto wenye mahitaji maalum kutokana na uhitaji wao.