Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Wiki hii hii kuna mtoto wa miaka 15 amepigwa vibaya na mume wake aliyekuwa akishirikiana na mume wake. Uso wake na mgongo hautamaniki. Na ana mtoto mmoja. Bila shaka Mila na desturi za kabila lake zinaruhusu watu wazima kuoa, kuzalisha mtoto wa miaka 13. Hiyo mnaona sawa ila mnatokwa na mapovu pale mwanamke mtu mzima anapomnywesha juice hadharani kiongozi mwenzake wa kiume.
Mnasikitisha sana. Btw. Wivu kwa mke tumeletewa na wageni. Kuna makabila ilikuwa halali kulala na mke wa rafiki yako wa rika moja. Leo mnadai wivu wa kijinga ni tamaduni yetu!

Amandla...
Sarcastic ✍️
 
Sawa kabisa, hakutumia glasi aliyo munywesha Nyusi lakini waswahili kama kawaida yao badala ya kufuatilia/chunguza kwa umakini kwa kile kilicho fanyika pale - wanatuletea stori za kutunga/buni tu.
Asingewza kubadilishiwa glasi halafu ishu ikabaki hivihivi. Ingeonekana labda alikuwa na nia ya kumdhuru rais wa Msumbiji.

Hajabadili glasi bali alienda kugonga cheers!
 
Hivi nyie mnaotoka mapovu mtasema nini Rais wetu akienda nchi ambayo wanasalimiana kwa kubusiana mashavu au mikono? Au, astaghafilula, mtu akamkumbatia!

Amandla...
Kubusiana siyo siyo sawa na kushare glass moja watu msiofahamiana. Huo utamaduni haujawahi kufanywa na rais yeyote Tangu mwalimu, sisi tumeliona jambo hili sasa!

Kama hili jambo ni la kawaida naomba incident yoyote katika dhifa ya viongozi inayofanana na hii.
 
Shida ni mama watakuwa walimpa agua do papa!
Hiyo kitu ni kama kvant iliyochangamka mara 3
 
Kubusiana siyo siyo sawa na kushare glass moja watu msiofahamiana. Huo utamaduni haujawahi kufanywa na rais yeyote Tangu mwalimu, sisi tumeliona jambo hili sasa!

Kama hili jambo ni la kawaida naomba incident yoyote katika dhifa ya viongozi inayofanana na hii.
Wamisheni kila jumapili tunashare glass na watu tusiowafahamu. Na wengine ni viongozi. Mnajitahidi sana kugeuza kichuguu kiwe mlima.
Na kwa vile mimi na wewe hatujawahi kuhudhuria dhifa za viongozi wote duniani swali lako sio la msingi.

Ninachotaka kukijua ni sheria ipi hapa Tanzania inayomkataza mtu yeyote kushare glass na asiyemfahamu?

Ukweli ni kuwa ingekuwa Rais wetu ni mwanaume na a share glass na Rais mwenzake wa kike mngemsifia sana.

Amandla...
 
Salaam

Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365938
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.

Wamissionary wametufikia, namuona Harmonizer (in Magu’s voice) hapo hana chakufanya
 
eti nini?....udhalilishaji?....kwamba hii video ni fake?...imetengenezwa na wanaotaka kumpokonya Mama urais 2025?....imetengenezwa na sukuma gang ambao hawakupenda Mama achukue nafasi ya urais kwa mujibu wa katiba?.

huna akili.
View attachment 2366100

Nani kasema video fake shangazi? Nimesema ku-highlight haya mambo ni udhalilishaji.
 
Salaam

Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365938
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Mila za Watanzania zinapatikana wapi!? Mdigo na Mluguru Wana Mila sawa!?? Makabila 132 yana Mila sawa!!?? Hakuna Mila ya Mtanzania .....
 
Mwacheni mama yetu a ‘flirt’. Upweke mbaya sana wajameni. Ikulu ya Dom na Dar kubwa kuliko vibanda vyetu. Watoto wa mama wamekuwa, sasa mnataka asi….
Kama
Siyo roho mbaya na nongwa kwetu ni nini?!😇👌🏿🤙🏿🇹🇿🤘🏿😎🤪😜
 
1.) KORONA BADO IPO HATA ASKARI NYUMAYAO WAMEVAA BARAKOA, INAKUAJE KUGUSANISHA MATE NAMTU KIPINDI HIKI CHAHATARI??
2) Hii kitu kiprotokali hairuhusiwi hatakama unaonesha ukaribu mlionao lkn si kumnywesha rais wawatu kinywaji.
3.) Kwamila zetu Afrika mambo hayo hufanyiwa mzee baba au mtoto tuu sasa hapo imekaaje?
 
Nothing wrong kabisa hapa na wewe mtoa hoja kuingiza udini hapo nimekuona ni wa ovyo kabisa, President Samia ni mwislamu (Imani yake)mimi ni mwabudu mizimu yangu (ni haki yangu),but President ni wa wote watanzania regardless Imani zao,never ever uingize udini kwenye issue kama hizi za wote, unataka kuniambia kuwa Waislamu ndio wanalea wenye tabia nzuri tu?,President Samia endelea kufanya kazi ni hii clip hakuna kibaya hapo!

Wewe huwa unaabudu mizimu gani??
 
Back
Top Bottom