Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,139
- 39,381
Hii sentensi ya mwisho inaashiria ushoga.Acha uongo wako na upotoshaji wako hapa wa kujifanya unamfahamu Rais wetu mpendwa kuliko sisi watanzania, acha na Koma kumchafua mh Rais wetu hapa, Tena Koma kabisa