samsolo the great
JF-Expert Member
- Jul 9, 2021
- 682
- 1,016
Ni kweli kabisa watu wanaomtetea yule jamaa wana laana yule jamaa angeendelea kutawala nchi hii walio tofauti na yeye kimtizamo wangeacha watoto wao yatimaUnataka kumlinganisha na yule mwehu jambazi na muuaji?
Kumlinganisha Mama SSH na yule mtu ni sawa na kulinganisha Mbingu na Jehenam I swear!