MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,347
- 11,227
Nchi nyingine bandari ziko kwenye mikono ya kampuni binafsi.... serikali siku zote ni matatizo tu.
Nimekuelewa sana...Just thinking aloud: unaweza kuwa mpango wa kuaminisha watu kuwa bandari ya Dar imeelemewa hivyo solution ni kujengwa bandari ya Bagamoyo. Tutafakari: Thread kama hizi zinazoweza kufuatiliwa na matamko kutoka kwa viongozi kuwa ''hata kwenye mitandao kelele zinapigwa kuwa bandari ya Dar imeshindwa kuhimili msongamano hivyo bila bandari ya Bagamoyo ni bure''
Rais huyu huyu Chifu Hangaya au ni yupi? Kama ni Hangaya alishabariki wizi wa watumishi wa Serikali,hakuna jipyaMeli za kutoka Dubai kuja DSM huchukua siku 14, Mzigo ukifika Dar Es Salaam bandarini utakaa siku hata 20-28 ukisubiri kupakuliwa.
Meli ikitoka UK au China itatumia siku 28-30 kufika Dar, Mzigo ukifika hapo Bandarini unachukua siku 20-28 zingine kupakuliwa.
Gharama za Usafiri imebidi SHIPLINERS waziongeze kufidia muda mrefu wa kusubiri hapo Bandarini.
Sasa hivi Wafanyabiashara kutoka CONGO DR, RWANDA, MALAWI, ZAMBIA, UGANDA wameanza kukimbilia Bandari ya Mombasa kupitisha mizigo yao.
Mheshimiwa Rais Samia, ukicheka na nyani utavuna Mabua., wananchi vitu vitazidi kupanda bei bila sababu yoyote ya maana.
Nimekuwekea na VIDEO uisikilize kama ushahidi mwingine.
KAZI IENDELEE
Hakuna Rais hapa.Meli za kutoka Dubai kuja DSM huchukua siku 14, Mzigo ukifika Dar Es Salaam bandarini utakaa siku hata 20-28 ukisubiri kupakuliwa.
Meli ikitoka UK au China itatumia siku 28-30 kufika Dar, Mzigo ukifika hapo Bandarini unachukua siku 20-28 zingine kupakuliwa.
Gharama za Usafiri imebidi SHIPLINERS waziongeze kufidia muda mrefu wa kusubiri hapo Bandarini.
Sasa hivi Wafanyabiashara kutoka CONGO DR, RWANDA, MALAWI, ZAMBIA, UGANDA wameanza kukimbilia Bandari ya Mombasa kupitisha mizigo yao.
Mheshimiwa Rais Samia, ukicheka na nyani utavuna Mabua., wananchi vitu vitazidi kupanda bei bila sababu yoyote ya maana.
Nimekuwekea na VIDEO uisikilize kama ushahidi mwingine.
KAZI IENDELEE
Ni vizuri kusika hivyo. Ila pia ungetuambia tatizo ni nini na mmeandaa dawa gani ya kumaliza tatizo hilo.Dawa ipo jikoni inachemka. Kaeni mkao wa kula dawa.
Mkuu kwa Bandari nadhani hata angekuja kutawala nani! Pale ni pagumu.
Kama kwa Mwendazake ambaye alikuwa mkali na akamweka mtu wa karibu yake aliyekuwa mkali lakini upigaji ulikuwa palepale sembuse Mama?
Hajapatikana kiongozi anayetumia akili tu. Hakuna kitu kinachoshindikana pale. Magufuli alikuwa anaongoza kwa style za zamani sana. Ni lazima angeshindwa. Samia yeye ni kama Kikwete. Bora liende. Nakuapia akipatikana kiongozi mzuri akija na mikakati ya kisayansi pale kila kitu kinanyooka.
Pale sio pagumu hata kuna washenzi wachache wanaiharibu Ile bandari mm nimeshaongea wee na wakuu mpaka nimechoka pale ni pakiwaki Sana kuna ushenzi mwingi mno nimefanya KAZI pale miaka mi 2 nimesoma ushenzi mwingi mno mpaka nimeamishwa nao nipo songea we fikiria mbona TICTS wako vzr kwann TPA kuna shida Sana ni PA kishenzi hujuma nyingi mno Yani wanamlolongo mkubwa usio na maana yeyote wateja kila siku Wanalalamika rushwa kila sehemu. Kuanzia walinzi mpaka ma ofisa wai ni rushwa tuu Ile bandari ni ya ajabu mno....Mkuu kwa Bandari nadhani hata angekuja kutawala nani! Pale ni pagumu.
Kama kwa Mwendazake ambaye alikuwa mkali na akamweka mtu wa karibu yake aliyekuwa mkali lakini upigaji ulikuwa palepale sembuse Mama?
Umeongea kitu kikubwa sana, shida sio ukali na shida sio upole.
Hapondio balaa lilipo, na bahati mbaya wa kutumia akili ili mambo yaende hayupo
Shindwa!!!Mtanikumbuka!
hata wakati wake watu walikula sanaaa tu, sema walikuwa ni wachache kula kwa mduara wao, of course sasa hivi kinacho determine ni urefu wa kamba yako.Mtanikumbuka!