Huyo alikuwa anasema Magufuli ni mjomba wake akawekwa Kigamboni Mkurugenzi alitudhulumu sana mali zetu alikuwa anatuma afisa ardhi kupima ardhi za watu kwa mabavu na dereva wake alikuwa anatembeza wateja kwenye ardhi alizopora tunashangaa hajafukuzwadah bosi Wangu Ludigija