peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,828
- 21,461
14. Dinah Elias Mathamani – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza
Huyu alipata Division Zero kidato cha Nne mwaka 1987
Huyu alipata Division Zero kidato cha Nne mwaka 1987
Alikuwa anapiga itakuwaVipi,uliachana na mambo ya Chama halafu walioendelea umewaona mkekani?
Huyu siriel mchembe huyu dahJerry Muro na Siriel Mchembe siwaoni.
YupoCheki bob Nassari sijamuona kwenye mkeka
Naona ana enda kuwa mwakilishi wa ccm mkoa...Si hua wanakipinga hiki cheo cha kikoloni, akikataa kwenda kuapishwa nimekaa pale ufipa
Wakuu wa mikoa au maras haojafar haniu kutoka kuwa mkurugenzi wa mawasiliano ikulu kuwa mkuu wa wilaya rungwe
jerry muro na sara msafiri out
Vp jina lako lipo?Naona ana enda kuwa mwakilishi wa ccm mkoa...
Sasa sijui ataingia na ajenda za chadema ktk mikutano ya ccm...
Njaa mbaya, hasheem rungwe
Kapelekwa bariadi hukoYule DC wa Songwe aliempiga mwanafunzi yupo ?
Huko anaenda kurogwa kabisa! Gamboshi hii hapa akileta mchezoKapelekwa bariadi huko
Jamaa ni mshamba sana. Safi sana alikua anamisuse power.Amekatwa Mkia Aende Yanga
Kule apunguze viboko kwa watoto, watani zangu wa kule hawana simile wanakupachika uchi kwenye paji la usoHuko anaenda kurogwa kabisa! Gamboshi hii hapa akileta mchezo
Ujue kusoma na kuandika ina tosha..14. Dinah Elias Mathamani – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza
Huyu alipata Division Zero kidato cha Nne mwaka 1987
Kapelekwa kanda ya nyumbani hivyo hakuna shida...Kule apunguze viboko kwa watoto, watani zangu wa kule hawana simile wanakupachika uchi kwenye paji la uso
Uzuri ni kwamba atafanya korogwe iwe kwenye trend kama kisarawe subiri mtaonaDuh sasa Jokate analea halafu anapelekewa Korogwe.... ha ha mzee vunjabei sasa safari za korogwe zitakuwa nyingi..