covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 4,910
- 10,729
Ukiona hivyo hajui kuhonga huyo.. linatumia nguvu kuliko akili.Watu wenye bahati mbaya zao. Watu Wengine wanajitafunia mabeki tatu na haliwakuti jambo
Ukiona hivyo hajui kuhonga huyo.. linatumia nguvu kuliko akili.Watu wenye bahati mbaya zao. Watu Wengine wanajitafunia mabeki tatu na haliwakuti jambo
Namuomba Mheshimiwa Raisi aniteue Mimi kwenye hiyo nafasi.Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Kassim Seif Ndumbo
View attachment 2967743
SawaLeo kwenye mitandao kumesambaa habari za tukio la kigogo mmoja huko Mafia kubaka mtoto wa miaka 16.
At the same usiku huu imetoka press ya Zuhura Yunusu kwamba Mhe. Rais ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Huko Mafia....
Je, anahusika au alishiriki kuficha uovu?
Sio kweli, itakua kuna sababu nyingine nje ya HAPOUkiona hivyo hajui kuhonga huyo.. linatumia nguvu kuliko akili.
Waziri Gwajima hawezi kutia mguu hapa....CC:Waziri Gwajima
Tungependa Kuona Sana Sana Comment Yako Chap Na Kauli Ya Serikali
Anatokea Tanga ndugu yake UmmyPossibly
Huyo jamaa ana age gani labda ni kijana sana
Au anatokea visiwani
Huyo Mkurugenzi anakwenda wizarani kusoma magazeti hapungizwi mshahara wake maana ni mtumishi wa Umma ataendelea kulipwa mshahara wake kama wengine!Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Kassim Seif Ndumbo
View attachment 2967743
Mama anaupiga mwingiHuyo Mkurugenzi anakwenda wizarani kusoma magazeti hapungizwi mshahara wake maana ni mtumishi wa Umma ataendelea kulipwa mshahara wake kama wengine!
Hawez liongelea yule umesahau alivokua chawa mkuu kipnd cha jiwe?CC:Waziri Gwajima
Tungependa Kuona Sana Sana Comment Yako Chap Na Kauli Ya Serikali
Wezi wa ruzuku na pesa za join the chain wako BAWACHAUchafu wote upo CCM
CCM inapokea zaidi ya 2B per month ruzuku, lakini ulivyo mjinga hujawahi huhoji zinaenda wapi? tuonyeshe mradi mpya ulioanzishwa na CCM tangu 2015Wezi wa ruzuku na pesa za join the chain wako BAWACHA
Umemaliza yoteLugha sahihi ninkuwa wanoko wamempa mama barua Ili kusaini barua ya kumtengua KIUNO Mkurugenzi wa mafia kwakuwa Wana mtu wao wanatoka kumueka
Ili akawabake kwa kutuliiiia watoto wetu sio?Teacher arudi kufundisha
Kazi ipoAnatokea Tanga ndugu yake Ummy
Uchafu wote upo CCM
Wewe ni mjinga sana,yani umekaa hapo Mbezi Msumi unahisi nchi yote imelala,chadema inakalia kuandamanisha wehu wenzao,miradi mipya ni kama Ujenzi wa nyumba za wafanyakazi,CCM inapokea zaidi ya 2B per month ruzuku, lakini ulivyo mjinga hujawahi huhoji zinaenda wapi? tuonyeshe mradi mpya ulioanzishwa na CCM tangu 2015