Unaona ajabu kumtawala mtu mmoja tu?
Mama Samia anatawala watu zaidi ya millioni 60.
kwahiyo kwa miaka yote hii miwili ameboresha bei ya ufuta. we jamaa una dhihaka sana.Simple tu, nipo maeneo yanayozalisha ufuta, mwaka huu tumeuza kwa bei ambayo hatujawahi kuifikia hata mwaka mmoja tsh 4100 kwa kilo moja ya ufuta. Pili tupo katika msimu wa mbaazi, tunauza kwa bei ya kihistoria tsh 2100 kwa kilo na tunatarajia itapanda zaidi minada ijayo(kipindi cha jiwe ilishuka thamani mpk tulikuwa tunauza kwa tsh 100, mpk wengine wakakata tamaa ya kulima hili zao). Tatu, kwa trend hii ya bei, tunatarajia makubwa zaidi kwenye korosho. Hapo sjaelezea bei za mahindi, maharage na nafaka zingine.
Mama ameleta maana halisi ya kilimo biashara. Yaani wangoni huwaambii kitu kuhusu mama Dk Samia.
Bado, sijagusia ajira lukuki alizozimwaga, kupandisha madaraja, nyongeza ya kudibua ya mishahara. Miradi ya afya, elimu,barabara,maji, umeme vijijini.
..Unaona ajabu kumtawala mtu mmoja tu?
Mama Samia anatawala watu zaidi ya millioni 60.
Sijui kama atakuelewaKumbe anatawala?
Nilizani anaongoza!
Umempatia huyo ajuza..
Una kitu, utafika mbali...
Takbiir...
Ukweli una tabia moja, hata utumie Maguvu vipi huwezi kufanikiwa. Baada ya Tamko la TEC, sasa serikali iliyoko madarakani kwa wizi wa kura imejua kwa uhalisia ugumu wa kuuza rasilimali za umma.
Mali ya umma huwezi kuyifanya ya umma kweli kwa kuwauzia hisa mabepari wa kitanzania wachache, na wengi wakabaki watazamaji!!Rasilimali ipi ilyouzwa na kwa shillingi ngapi?
Wakati wewe unadanganya kondoo waliopotezwa, mama Samia Suluhu anafanya mali za umma kuwa za umma kweli. Soma mada kwenye post # 1.
Yanakuuma?
Mali ya umma huwezi kuyifanya ya umma kweli kwa kuwauzia hisa mabepari wa kitanzania wachache, na wengi wakabaki watazamaji!!
Rudi shule, huwezi kuongoza bila kutawala.
Hususan ukiwa na wehu wengi. Unaijuwa dalili ya kwanza ya wehu?
Dalili ya wehu ya kwanza ni binadam kukubali kuwa yeye ni kondoo.
Jibu hoja yangu uliyoinukuu!! Mashirika ya umma yaliyozaliwa na kuendeshwa kwa kodi ya watanzania wote, halafu leo uwauzie hisa waqtanzania wachache wenye ukwasi mkubwa (mabepari wa kitanzania) ni wizi wa mchana kweupe!! Ni asilimia ngapi ya watanzania wataweza kununua hizo hisa za mashirika yanayofanya vizuri kwa sasa?Mama Samia kwenye hili la kuianzisha hili kongamano la kipekee, inabidi apewe heko na hongera kubwa sana. Haijawahi kutokea.
Hapo mama kazikutanisha "think tanks" za Tanzania zilizostaafu, zilizopo, na zitazokuja. Haijwahi kutokea, kama hatujawaamini hao maamuzi yao tumuamini nani, wewe?
Kisa cha firauni na musa kinatufundisha mengi sana, kwa uchache kinatufundisha bila elimu, bila mali, bila utawla bora ni bure tu.
Mama hapo kaikusanya elimu, anawapatia mali, na anawapa utawala borfa. Hakuna utawala bora zaidi ya kuwaikiliza wasemacho watu wako.
Unawasikiliza, unawapa think tank zako, wqanakupa recommndations, unaziundia utawala (dministration" unazitekeleza.
Mama Samia hapa tumpe pongezi sana tena sana.
Wangeorodhesha hayo mashirika tuyajue. Mashirika ya kibiashara yalishabinafsishwa awamu ya mkapa. Yale yalibakia ni yale ya udhibiti uchumi au sekta za uchumi. Sasa ukiniorodheshea TRA, LATRA na yale ya udhibiti kwenye viwanja vya ndege na usafiri wa anga au shirika la hali ya hewa itakua mambo ya kustaajabisha. Kuna mashirika ni mambo ya utawala tu. Sasa uuze hisa eti TRA liwe la umma si unataka TRA iwe mikononi mwa watu binafsi😂. Anyway sijajua ni mashirika yepi ngoja tuone hawa wafuasi wa uliberali tuone kama wanawafungulia wezi wa umma na walanguzi mlango kwa kiasi gani.Mama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.
Kama mama Samia alivyofanya TPA mwaka 2021 ,alifumuwa fumuwa bodi ya wakurugenzi, wengine wapo mashakani wanaweza kufungwa kwa wizi na ubadhirifu. Ndivyo anafanya kwa mashirika mengine yote ya umma na kiserikali. Kasema wazi "ukiuwa shirika, ufe nalo hukohuko, ukija kwangu nakuuwa mimi na sitanii".
Serikali hatimaye yaachilia mashirika 28 yanayomilikiwa na serikali
ARUSHA: Jumla ya makampuni 28 ya serikali likiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yataachiwa huru wiki hii, afisa mwandamizi wa serikali alisema Jumamosi jijini Arusha.
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma mkoani Arusha kuwa makampuni hayo sasa yatakuwa huru kutokana na mchango wa Serikali.
Taasisi ambazo zote hazijafichuliwa ni pamoja na Vyuo 13 vya Elimu ya Juu vya Umma. Mchechu alisema maendeleo hayo mapya ni matokeo ya mabadiliko yanayoendelea katika taasisi za umma nchini kote.
“Tumefikia muafaka na Wenyeviti na Wakurugenzi wa vyombo hivi. Tunataka kuona makampuni mengi yanafanya kazi kwa uhuru,” alisema.
Mchechu aliendelea kubainisha kuwa baadhi ya taasisi hata hivyo zimeomba kuongezewa muda wa hadi miaka miwili ili kuwa huru kikamilifu.
Taarifa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina zinaonyesha kuwa Rais anatarajiwa kutoa tuzo kwa baadhi ya makampuni yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2022/23.
Chanzo: State finally frees 28 state-owned enterprises - Daily News
Sema ukienda, ulisikia mimi Mzanzibari?Faiza pamoja na kwamba mimi nikija zenji utaniita chogo, hauachi kujadili mambo ya Tanganyika, ninyi hamuwezi kuishi bila Tanganyika.
siku hiki kisiwa kikijitenga, nitafurahi sana, nitachinja jogoo mkubwa sana nimle.Sema ukienda, ulisikia mimi Mzanzibari?
Unaota wewe. NNachokiona Zanzibar nnakishuhudia sasa hivi Ghaza. Kama hatujachukuwa hatua za kuhakikisha au Zanzibar inajitawala yenyewe kwa kila kitu kama nchi, tutegemee maumivu makubwa siku za usoni huko.
Mwenyezi Mungu awape hekima viongozi wetu watuepushe na majanga.
Sasa kwanini hujitengi wewe ungoje wao wajitenge?siku hiki kisiwa kikijitenga, nitafurahi sana, nitachinja jogoo mkubwa sana nimle.
Hakuna rais muisiharamu mwenye akili ya hivyo hapa tz sahau .....sekta kama ya bandari reli ..mipaka ya nchi...nishati ...madini ...maji ...misitu uwezi kuachia sekta binafsiMama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.
Kama mama Samia alivyofanya TPA mwaka 2021 ,alifumuwa fumuwa bodi ya wakurugenzi, wengine wapo mashakani wanaweza kufungwa kwa wizi na ubadhirifu. Ndivyo anafanya kwa mashirika mengine yote ya umma na kiserikali. Kasema wazi "ukiuwa shirika, ufe nalo hukohuko, ukija kwangu nakuuwa mimi na sitanii".
Serikali hatimaye yaachilia mashirika 28 yanayomilikiwa na serikali.
===========
ARUSHA: Jumla ya makampuni 28 ya serikali likiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yataachiwa huru wiki hii, afisa mwandamizi wa serikali alisema Jumamosi jijini Arusha.
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma mkoani Arusha kuwa makampuni hayo sasa yatakuwa huru kutokana na mchango wa Serikali.
Taasisi ambazo zote hazijafichuliwa ni pamoja na Vyuo 13 vya Elimu ya Juu vya Umma. Mchechu alisema maendeleo hayo mapya ni matokeo ya mabadiliko yanayoendelea katika taasisi za umma nchini kote.
“Tumefikia muafaka na Wenyeviti na Wakurugenzi wa vyombo hivi. Tunataka kuona makampuni mengi yanafanya kazi kwa uhuru,” alisema.
Mchechu aliendelea kubainisha kuwa baadhi ya taasisi hata hivyo zimeomba kuongezewa muda wa hadi miaka miwili ili kuwa huru kikamilifu.
Taarifa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina zinaonyesha kuwa Rais anatarajiwa kutoa tuzo kwa baadhi ya makampuni yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2022/23.
Chanzo: State finally frees 28 state-owned enterprises - Daily News