Rais Samia afanya maamuzi mazito, atoa Helikopta kuwapeleka mawaziri kutatua miundombinu ya barabara mkoani Lindi

Ndugu zangu Watanzania,

Napenda kuwafahamisheni ya kuwa Rais wetu mpendwa na jemedari wetu Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge hii leo amefanya maamuzi mazito na magumu sanaaa.

kwa kutoa kwa mkono wake mwenyewe na kauli yake mwenyewe Helikopta ya kuwapeleka mawaziri wa ujenzi Mheshimiwa Innocent Bashungwa pamoja na naibu waziri wa TAMISEMI, ili waweze kufika kwa haraka sanaa liwale mkoani Lindi kutatua na kutafuta ufumbuzi wa changamoto ya miundombinu ambayo imeharibika ikiwepo kubomoka kwa madaraja pamoja na kujaa maji kwenye barabara.

Mawaziri hao ambao wametua kijeshi mithiri ya mashujaa na makomandoo waliotumwa na Marekani nchini Pakistani kumnasa Gaidi namba moja Duniani Osama Bin ladeni ,waliambatani na mkuu wa mkoa wa Lindi Mheshimiwa Zainabu,wataalamu kutoka TANROADS pamoja na TARURA.

Mheshimiwa Rais anafanya haya yote kwa lengo la kuhakikisha kuwa kila sehemu katika ardhi ya Tanzania inapitika na kufikika muda wote na wananchi wanasafiri kutoka eneo moja kwenda jingine bila shida ya aina yoyote ile.hii ndio maana ya uongozi na kiongozi jasiri na shupavu.huu ndio maana ya Rais Samia kuitwa komandoo na jemedari wa vita.maana muda wote ni mtu wa maamuzi makini na weledi.

Rais Samia Ni mpango wa Mungu Mwenyewe aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe kuwatumikia watanzania wanyonge wanaohitaji msaada. Ni kiongozi msikivu na mnyenyekevu sana.ndio maana kwa usikivu wake na kuwajali Watanzania sasa anakwenda kuanzisha utaratibu wa kumsikiliza mtanzania mmoja mmoja mwenye kero binafsi.

Hii maana yake ni kuwa Rais Samia anaijali hata sauti ya mtu mmoja tu,anathamini na yupo tayari kutumia muda wake kumsikiliza mtu mmoja mwenye kero au changamoto ya aina yoyote ile.anataka kila mtu katika Taifa letu ajione ana nafasi ya kusikilizwa mbele ya Rais wake.anataka watanzania wajuwe kuwa kura yako ya ndio kwa Rais Samia na CCM yake inakupa tiketi na fursa ya kuzungumza na mkuu wa nchi bila kikwazo cha aina yoyote ile.

Hii ndio maana ya kauli yangu kuwa Rais Samia Ametufikia Watanzania kwa utumishi wake.maana hakuna mtu au mtanzania atakaye achwa nyuma au kutokusikilizwa kero yake.watanzania wenzangu tuendelee kuwa na imani kubwa sana kwa Rais wetu na mama yetu mpendwa anayetupenda sana Watanzania.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
KWA NINI HUYU KIJANA ASIYEFAHAMU HATA SERIKALI ZINAENDESHWAJE ASIENDE KULIMA?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Napenda kuwafahamisheni ya kuwa Rais wetu mpendwa na jemedari wetu Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge hii leo amefanya maamuzi mazito na magumu sanaaa.

kwa kutoa kwa mkono wake mwenyewe na kauli yake mwenyewe Helikopta ya kuwapeleka mawaziri wa ujenzi Mheshimiwa Innocent Bashungwa pamoja na naibu waziri wa TAMISEMI, ili waweze kufika kwa haraka sanaa liwale mkoani Lindi kutatua na kutafuta ufumbuzi wa changamoto ya miundombinu ambayo imeharibika ikiwepo kubomoka kwa madaraja pamoja na kujaa maji kwenye barabara.

Mawaziri hao ambao wametua kijeshi mithiri ya mashujaa na makomandoo waliotumwa na Marekani nchini Pakistani kumnasa Gaidi namba moja Duniani Osama Bin ladeni ,waliambatani na mkuu wa mkoa wa Lindi Mheshimiwa Zainabu,wataalamu kutoka TANROADS pamoja na TARURA.

Mheshimiwa Rais anafanya haya yote kwa lengo la kuhakikisha kuwa kila sehemu katika ardhi ya Tanzania inapitika na kufikika muda wote na wananchi wanasafiri kutoka eneo moja kwenda jingine bila shida ya aina yoyote ile.hii ndio maana ya uongozi na kiongozi jasiri na shupavu.huu ndio maana ya Rais Samia kuitwa komandoo na jemedari wa vita.maana muda wote ni mtu wa maamuzi makini na weledi.

Rais Samia Ni mpango wa Mungu Mwenyewe aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe kuwatumikia watanzania wanyonge wanaohitaji msaada. Ni kiongozi msikivu na mnyenyekevu sana.ndio maana kwa usikivu wake na kuwajali Watanzania sasa anakwenda kuanzisha utaratibu wa kumsikiliza mtanzania mmoja mmoja mwenye kero binafsi.

Hii maana yake ni kuwa Rais Samia anaijali hata sauti ya mtu mmoja tu,anathamini na yupo tayari kutumia muda wake kumsikiliza mtu mmoja mwenye kero au changamoto ya aina yoyote ile.anataka kila mtu katika Taifa letu ajione ana nafasi ya kusikilizwa mbele ya Rais wake.anataka watanzania wajuwe kuwa kura yako ya ndio kwa Rais Samia na CCM yake inakupa tiketi na fursa ya kuzungumza na mkuu wa nchi bila kikwazo cha aina yoyote ile.

Hii ndio maana ya kauli yangu kuwa Rais Samia Ametufikia Watanzania kwa utumishi wake.maana hakuna mtu au mtanzania atakaye achwa nyuma au kutokusikilizwa kero yake.watanzania wenzangu tuendelee kuwa na imani kubwa sana kwa Rais wetu na mama yetu mpendwa anayetupenda sana Watanzania.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Una porojo nyingi, sikutegemea.. ukisifia sana hata kam ni ukweli inaonekana muongo na mnafiki
 
Ndugu zangu Watanzania,

Napenda kuwafahamisheni ya kuwa Rais wetu mpendwa na jemedari wetu Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge hii leo amefanya maamuzi mazito na magumu sanaaa.

kwa kutoa kwa mkono wake mwenyewe na kauli yake mwenyewe Helikopta ya kuwapeleka mawaziri wa ujenzi Mheshimiwa Innocent Bashungwa pamoja na naibu waziri wa TAMISEMI, ili waweze kufika kwa haraka sanaa liwale mkoani Lindi kutatua na kutafuta ufumbuzi wa changamoto ya miundombinu ambayo imeharibika ikiwepo kubomoka kwa madaraja pamoja na kujaa maji kwenye barabara.

Mawaziri hao ambao wametua kijeshi mithiri ya mashujaa na makomandoo waliotumwa na Marekani nchini Pakistani kumnasa Gaidi namba moja Duniani Osama Bin ladeni ,waliambatani na mkuu wa mkoa wa Lindi Mheshimiwa Zainabu,wataalamu kutoka TANROADS pamoja na TARURA.

Mheshimiwa Rais anafanya haya yote kwa lengo la kuhakikisha kuwa kila sehemu katika ardhi ya Tanzania inapitika na kufikika muda wote na wananchi wanasafiri kutoka eneo moja kwenda jingine bila shida ya aina yoyote ile.hii ndio maana ya uongozi na kiongozi jasiri na shupavu.huu ndio maana ya Rais Samia kuitwa komandoo na jemedari wa vita.maana muda wote ni mtu wa maamuzi makini na weledi.

Rais Samia Ni mpango wa Mungu Mwenyewe aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe kuwatumikia watanzania wanyonge wanaohitaji msaada. Ni kiongozi msikivu na mnyenyekevu sana.ndio maana kwa usikivu wake na kuwajali Watanzania sasa anakwenda kuanzisha utaratibu wa kumsikiliza mtanzania mmoja mmoja mwenye kero binafsi.

Hii maana yake ni kuwa Rais Samia anaijali hata sauti ya mtu mmoja tu,anathamini na yupo tayari kutumia muda wake kumsikiliza mtu mmoja mwenye kero au changamoto ya aina yoyote ile.anataka kila mtu katika Taifa letu ajione ana nafasi ya kusikilizwa mbele ya Rais wake.anataka watanzania wajuwe kuwa kura yako ya ndio kwa Rais Samia na CCM yake inakupa tiketi na fursa ya kuzungumza na mkuu wa nchi bila kikwazo cha aina yoyote ile.

Hii ndio maana ya kauli yangu kuwa Rais Samia Ametufikia Watanzania kwa utumishi wake.maana hakuna mtu au mtanzania atakaye achwa nyuma au kutokusikilizwa kero yake.watanzania wenzangu tuendelee kuwa na imani kubwa sana kwa Rais wetu na mama yetu mpendwa anayetupenda sana Watanzania.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Hayo si maamuzi ni wajibu, wenzetu wanafanya hivyo daily. Acha kusifia majukumu
 
Acheni wivu CHADEMA. kiongozi akifanya vizuri tusisite na kuwa wazito kumpa pongezi zake. Tusipende kuwakatisha tamaa viongozi wetu kwa chuki binafsi.
ww njaa yako ndo inakuhangaisha mkuu....viongozi hata hawakati tamaa as long wanapata hela na siasa ndo kazi yao
 
Pepe Kalle: Omaidoda maidoda
Sisi: eeeeeeeh
Pepe Kalle: maidoda maidoda maidoda
Sisi: Alepoooooo
images (4).jpeg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Napenda kuwafahamisheni ya kuwa Rais wetu mpendwa na jemedari wetu Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge hii leo amefanya maamuzi mazito na magumu sanaaa.

kwa kutoa kwa mkono wake mwenyewe na kauli yake mwenyewe Helikopta ya kuwapeleka mawaziri wa ujenzi Mheshimiwa Innocent Bashungwa pamoja na naibu waziri wa TAMISEMI, ili waweze kufika kwa haraka sanaa liwale mkoani Lindi kutatua na kutafuta ufumbuzi wa changamoto ya miundombinu ambayo imeharibika ikiwepo kubomoka kwa madaraja pamoja na kujaa maji kwenye barabara.

Mawaziri hao ambao wametua kijeshi mithiri ya mashujaa na makomandoo waliotumwa na Marekani nchini Pakistani kumnasa Gaidi namba moja Duniani Osama Bin ladeni ,waliambatani na mkuu wa mkoa wa Lindi Mheshimiwa Zainabu,wataalamu kutoka TANROADS pamoja na TARURA.

Mheshimiwa Rais anafanya haya yote kwa lengo la kuhakikisha kuwa kila sehemu katika ardhi ya Tanzania inapitika na kufikika muda wote na wananchi wanasafiri kutoka eneo moja kwenda jingine bila shida ya aina yoyote ile.hii ndio maana ya uongozi na kiongozi jasiri na shupavu.huu ndio maana ya Rais Samia kuitwa komandoo na jemedari wa vita.maana muda wote ni mtu wa maamuzi makini na weledi.

Rais Samia Ni mpango wa Mungu Mwenyewe aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe kuwatumikia watanzania wanyonge wanaohitaji msaada. Ni kiongozi msikivu na mnyenyekevu sana.ndio maana kwa usikivu wake na kuwajali Watanzania sasa anakwenda kuanzisha utaratibu wa kumsikiliza mtanzania mmoja mmoja mwenye kero binafsi.

Hii maana yake ni kuwa Rais Samia anaijali hata sauti ya mtu mmoja tu,anathamini na yupo tayari kutumia muda wake kumsikiliza mtu mmoja mwenye kero au changamoto ya aina yoyote ile.anataka kila mtu katika Taifa letu ajione ana nafasi ya kusikilizwa mbele ya Rais wake.anataka watanzania wajuwe kuwa kura yako ya ndio kwa Rais Samia na CCM yake inakupa tiketi na fursa ya kuzungumza na mkuu wa nchi bila kikwazo cha aina yoyote ile.

Hii ndio maana ya kauli yangu kuwa Rais Samia Ametufikia Watanzania kwa utumishi wake.maana hakuna mtu au mtanzania atakaye achwa nyuma au kutokusikilizwa kero yake.watanzania wenzangu tuendelee kuwa na imani kubwa sana kwa Rais wetu na mama yetu mpendwa anayetupenda sana Watanzania.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

• Mke wa Mwl, Julius K. Nyerere, Maria Nyerere.
• Wake wa Ali H. Mwinyi, Sitti na Khadija Mwinyi.
• Mke wa Benjamin W. Mkapa, Anna Mkapa
• Mke wa Jakaya M. Kikwete, Salma Kikwete
• Mke wa John P. Magufuli, Janeth Magufuli
• Mume wa Samia S. Hassan, Hafidh Ameir

Kwa mujibu wa The Political Service Retirement Benefits Act [CAP. 225] kila mwezi hawa watalipwa 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani.

Kama Rais aliyepo madarakani anapokea TZS 50,000,000 kwa mwezi, mwenza wa Rais atalipwa malipo/mafao ya TZS 30,000,000 kila mwezi.

Rais akistaafu, mwenza/wenza wake atapokea/watapokea (kwa mkupuo) 25% ya mshahara wa Rais alioupokea wakati wote akiwa madarakani.

Mfano, kama Rais alikaa madarakani kwa kipindi cha miaka 10, akalipwa TZS 4,000,000,000, mwenza wake atalipwa TZS 1,000,000,000 kwa mkupuo.

Pamoja na malipo hayo ya fedha, pia wenza hawa sita (6) wa Marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watapata mafao mengine kama ilivyoelekezwa;

1. Nyumba ambayo Rais alipewa na alikuwa akiitumia kama makazi baada ya kustaafu itakuwa mali yake halali baada ya mume/mke wake (Rais) kufariki.

2. Atapokea posho ya matengenezo ya kila mwezi katika maisha yake yote akiwa hai kiasi ambacho ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani.

3. Mke/mume wa Rais atatibiwa ndani na nje ya Tanzania, na matibabu yake yatagharamiwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

4. Mjane wa Rais mstaafu atapata huduma ya magari mawili, na dereva wawili kufanya shughuli zake za kila siku. Serikali inalipia gharama za mafuta.

5. Magari anayopewa mjane wa Rais yatabadilishwa baada ya miaka 5. Kuna maintenance allowance. 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani kila mwezi

6. Malipo ya fedha kulipa mishahara kwa kiwango cha kima cha chini cha mishahara ya watumishi kwa; dereva, mpishi, mfua nguo na mtunza bustani

7. Mke/mume wa Rais atapata huduma ya usafiri kwa gharama za serikali hadi mahali pa kuishi kwa maisha yake yote hadi pale ambapo kifo kitawatenganisha.

8. Mke/mume na watoto wanapata ulinzi kutoka Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) kutokana na mabadiliko yaliyofanywa katika Sheria ya Usalama wa Taifa.

9. Gharama za mazishi ya mke/mume wa Rais yatakuwa chini ya serikali. Serikali ya Tanzania itagharamia kwa 100% msiba wa mwenza wa Rais

10. Mjane wa Makamu wa Rais, anapata stahiki kama za mjane wa Rais isipokuwa tofauti yake ni moja, atapata gari moja la Serikali na dereva mmoja.

Martin Maranja Masese, MMM.
 
Hao mawaziri wanakwenda kutatua vipi ?; Si watumie usafiri wanaotumia hao wanaopata Kero ili waonje joto ya Jiwe ?

Yaani unasifia watu ambao mpaka sasa wameshindwa kutatua na wanatumia Kodi zetu zaidi kama mafuta ya hizo Helicopter kwenda kuuza Sura ?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Napenda kuwafahamisheni ya kuwa Rais wetu mpendwa na jemedari wetu Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge hii leo amefanya maamuzi mazito na magumu sanaaa.

kwa kutoa kwa mkono wake mwenyewe na kauli yake mwenyewe Helikopta ya kuwapeleka mawaziri wa ujenzi Mheshimiwa Innocent Bashungwa pamoja na naibu waziri wa TAMISEMI, ili waweze kufika kwa haraka sanaa liwale mkoani Lindi kutatua na kutafuta ufumbuzi wa changamoto ya miundombinu ambayo imeharibika ikiwepo kubomoka kwa madaraja pamoja na kujaa maji kwenye barabara.

Mawaziri hao ambao wametua kijeshi mithiri ya mashujaa na makomandoo waliotumwa na Marekani nchini Pakistani kumnasa Gaidi namba moja Duniani Osama Bin ladeni ,waliambatani na mkuu wa mkoa wa Lindi Mheshimiwa Zainabu,wataalamu kutoka TANROADS pamoja na TARURA.

Mheshimiwa Rais anafanya haya yote kwa lengo la kuhakikisha kuwa kila sehemu katika ardhi ya Tanzania inapitika na kufikika muda wote na wananchi wanasafiri kutoka eneo moja kwenda jingine bila shida ya aina yoyote ile.hii ndio maana ya uongozi na kiongozi jasiri na shupavu.huu ndio maana ya Rais Samia kuitwa komandoo na jemedari wa vita.maana muda wote ni mtu wa maamuzi makini na weledi.

Rais Samia Ni mpango wa Mungu Mwenyewe aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu Mwenyewe kuwatumikia watanzania wanyonge wanaohitaji msaada. Ni kiongozi msikivu na mnyenyekevu sana.ndio maana kwa usikivu wake na kuwajali Watanzania sasa anakwenda kuanzisha utaratibu wa kumsikiliza mtanzania mmoja mmoja mwenye kero binafsi.

Hii maana yake ni kuwa Rais Samia anaijali hata sauti ya mtu mmoja tu,anathamini na yupo tayari kutumia muda wake kumsikiliza mtu mmoja mwenye kero au changamoto ya aina yoyote ile.anataka kila mtu katika Taifa letu ajione ana nafasi ya kusikilizwa mbele ya Rais wake.anataka watanzania wajuwe kuwa kura yako ya ndio kwa Rais Samia na CCM yake inakupa tiketi na fursa ya kuzungumza na mkuu wa nchi bila kikwazo cha aina yoyote ile.

Hii ndio maana ya kauli yangu kuwa Rais Samia Ametufikia Watanzania kwa utumishi wake.maana hakuna mtu au mtanzania atakaye achwa nyuma au kutokusikilizwa kero yake.watanzania wenzangu tuendelee kuwa na imani kubwa sana kwa Rais wetu na mama yetu mpendwa anayetupenda sana Watanzania.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Yaani jina lako linasadifu jambo fulani.

"Mh. Rais amefanya maamuzi magumu kutoa headcopter kubeba mwili wa Mzee Mwinyi."

Vitu vya hovyo kabisa. Mojawapo ya kazi ya ndege hizo ni kufika kirahisi kusikogikika kwa gari au njia ingine. Lakini pia ndio jukumu la serikali kuwahudumia watu wake sio hisani wala ombi. Kumbuka hizo ni kodi zetu.

Wakati mwingine kuwa chawa kusikutoe akili
 
Wewe unafikiri kwanini kulianzishwa tuzo katika maeneo mbalimbali kwa watu wanaofanya vizuri katika maeneo yao ya kazi katika kutimiza majukumu yao?
Ile tuzo haitolewi kwa wanaofanya majukumu ya msingi. Inatolewa for exptional individuals, hawatoi kisiasa
 
Yaani jina lako linasadifu jambo fulani.

"Mh. Rais amefanya maamuzi magumu kutoa headcopter kubeba mwili wa Mzee Mwinyi."

Vitu vya hovyo kabisa. Mojawapo ya kazi ya ndege hizo ni kufika kirahisi kusikogikika kwa gari au njia ingine. Lakini pia ndio jukumu la serikali kuwahudumia watu wake sio hisani wala ombi. Kumbuka hizo ni kodi zetu.

Wakati mwingine kuwa chawa kusikutoe akili
Yaani inaonekana ni hisani kupata maendeleo Tanzania
 
Back
Top Bottom