johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,011
- 142,044
Nimeweka hapa Hii taarifa kama angalizo kwa Wakulima wa Tanzania ambao wanategemea zaidi soko la Kenya
Rais Ruto ameweka ruzuku kwenye Mbolea na Kufanya Bei ishuke kutoka Ksh 3500 hadi Ksh 2500 kuanzia jana
Ruto amesema lengo lake ni kuona Kenya inajitosheleza na kuachana kabisa na uagizaji wa mazao ya chakula kutoka Nje ya nchi
Source: Citizen TV
Mlale Unono 😃😃
Rais Ruto ameweka ruzuku kwenye Mbolea na Kufanya Bei ishuke kutoka Ksh 3500 hadi Ksh 2500 kuanzia jana
Ruto amesema lengo lake ni kuona Kenya inajitosheleza na kuachana kabisa na uagizaji wa mazao ya chakula kutoka Nje ya nchi
Source: Citizen TV
Mlale Unono 😃😃