Rais obama amtaja mfanyabiashara wa madawa ya kulevya mwanamke wa kitanzania aishie Mbezi

Police yesterday released the names of two suspected Kenyan drug dealers who were arrested alongside two Tanzanian female counterpart with 5kilogrammes of drugs believed to be cocaine, worth about Sh225 million.


A senior anti-narcotics officer yesterday said the Kenyan nationals were arrested on Wednesday midnight at Dar es Salaam's Mbezi suburbs.They were nabbed in the house of a woman who the police have been following for sometime after being tipped about her alleged involvement in drug trafficking.Caught along the three was a woman who was also found in possession of 1 kg of suspected drugs in the same house.

The police were acting on a tip-off from an informant. "We knocked the door and introduced ourselves. We carried out inspection and uncovered 5kg of substances which we believe to be cocaine," the officer, who asked for anonymity, told The Citizen.

In the woman's room, the police found drugs stuffed in two small packets weighing 1kg each, labelled Coffee Care Original, apparently to conceal the substances.

The arrest of the two Kenyans come at a time when US President Barrack Obama named Kenya's Kilome MP Harun Mwau and another Naima Mohamed Nakiniywa among seven foreigners targeted by his government over narcotics.

There have been conflicting versions as to the nationality of the woman. A source has confided to The Citizen that the woman holds more than two passports and that she is well known in Kenya for engaging in drug deals.When asked as of Mama Leila's nationality, the police officer said they were still communicating with Interpol Kenya for records of the Kenyan suspects and whether or not Mama Leila was a Kenyan.

On Monday police also arrested four other people who arrived at the house on a request of the house owner after she protested to a local government leader and wanted them to witness searching of her house."These four came to the woman's home that night after she called them for help. We believe they would help in our investigations," the officer said.

allAfrica.com: Tanzania: Police Names Arrested Drug Dealers


Kwanza, sikujua kuwa huu unga uko ghali hivi. Kilo 5 kwa milioni 225 (kilo moja milioni 51)?
Pili, tatizo la sheria kwenda kinyume ya haki. Unaposema "unga unaodhania kuwa ni cocaine", maana yake mpaka ithibitishwe "kisheria" kuwa ni unga, bangi ithibitishwe kuwa ni bangi n.k. Kwa kuwa tumagwiji wa rushwa, unga huo baada ya muda hugeuzwa kuwa unga wa ngano au backing powder, na majani ya bangi huwa mboga ya kisamvu.
Nakumbuka miaka ya nyuma ambapo bangi ilijulikana kwa harufu na sio mchanganyiko wake wa kikemikali kwenye maabara. Kwa mtindo huu, watakuwa wanaingiza madawa, yanakamatwa lakini daima hakutapatikana ushahidi.
 
Du! Bora obama apewe dunia atawale ataiweza halafu akina magamba wawe sungusungu. Obama akiamua anaweza kumaliza huu mtandao wa madwa ya kulevya kumbe. Keep it up obama, umestahili ile tuzo ya amani ya nobel. With thanks.

Akiweza badili dini kila mwezi , halfu akimaliza anakuwa bila dini ..angepwa dunia rasmi.
 
Du! Bora obama apewe dunia atawale ataiweza halafu akina magamba wawe sungusungu. Obama akiamua anaweza kumaliza huu mtandao wa madwa ya kulevya kumbe. Keep it up obama, umestahili ile tuzo ya amani ya nobel. With thanks.

Marekani ni moja ya nchi yenye watumiaji wa kupitiliza wa madawa ya kulevya, aanze kusafisha huko kwanza.
 
Tuko smart sana kuwashighulikia mama nitilie na wamachinga issue kubwa kama hii,We are immature

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Imesemekana kuwa kuna mwanamke mmoja amekamatwa ambaye anajihusisha na masuala ya madawa ya kulevya, kakamatwa ila ni baada ya msaada wa Barack Obama ambaye aliiambia nchi yetu kuwa kuna mwanamke anaitwa flani bin flani anaishi sehemu flani anajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya kwa nchi si chini ya kumi duniani.

Ndipo baada ya Obama kuwapigia simu jamaa wetu wa usalama na CIA wakakurupuka kwenda kumkamata na kumkuta huyo mama na passport zaidi ya nne. Sasa swali langu nauliza hivi hawa jamaa zetu wa mambo ya usalama walikuwa wapi mpaka mtu anakuwa drug dealer mkubwa na hatujawa na nguvu ya kumkamata mpaka CIA wamgundue na kumuomba rais wao Obama awashinikize watu wetu kumkamata?
ulivyoanza na taarifa yako ni kwamba huna uhakika...neno inasemekana linahusika hapo
 
ulivyoanza na taarifa yako ni kwamba huna uhakika...neno inasemekana linahusika hapo

Unaweza kutoa habari hiyo kutoka kwenye vyombo vya habari na bado ukaweka neno INASEMEKANA pia
 
Unaweza kutoa habari hiyo kutoka kwenye vyombo vya habari na bado ukaweka neno
INASEMEKANA pia
sasa kama source yako haina uhakika au imedanganya wewe unadhani bado ni busara kuendeleza kutokuwa na uhakika
 
sasa kama source yako haina uhakika au imedanganya wewe unadhani bado ni busara kuendeleza kutokuwa na uhakika

Hujanielewa..

Anyway hiyo ni habari ya ukweli, na uhakika
Over
 
Hujanielewa..

Anyway hiyo ni habari ya ukweli, na uhakika
Over
huo ni uongo maana umefikia kulazimisha.....halafu unapost ktk jukwaa la intelligence....udaku peleka ktk jukwaa lenu la siasa.... huku tunataka facts and not fictions......
 
huo ni uongo maana umefikia kulazimisha.....halafu unapost ktk jukwaa la intelligence....udaku peleka ktk jukwaa lenu la siasa.... huku tunataka facts and not fictions......


kwa maneno hayo yanaonesha ukoje upstairs na haustaili kuwa mtu ambaye unadai au kutaka wewe uwe ..
(intelligent person)
sifa za mtu makini angetafuta hiyo habari ili kuja kuniprove wrong kuwa ni uongo, wewe umeshindwa kufanya hivyo
kama ulikuwa unajihisi au kujiona wewe ni mtu makini safari bado ndefu mno
kwa kumalizia tu tembelea mtandao wa allafrica
au tafuta magazeti ya the citizen kati ya june 2 mpaka june 18 2011

btw hii habari ilishaletwa humu ikajadiliwa nashangaa wewe umekurupuka now mkuu

yale yale niliyokuwa nayasema
safari yako bado ndefu sana
 

Nikiangalia joining date yako na ulivyo na uchu wa kukanusha hizi issue drug dealers napata jibu kuwa you purposely joined JF kwa ajili ya kuja kutetea hao dealers wenzio!!

Kwa taarifa tu ni kuwa JF ni fupa lililomshinda fisi, sasa sijui wema_1 kama utaliweza!

Nimekuona kwenye uzi wa akina masogange ukjitoa fahamu kudhihaki kazi ya Mh. Mwakyembe hasa kuhusiana na sembe.

Juhudi za kuwasafisha wauza sembe hapa zimegonga ukuta mkuu, labda jaribu kurudi FB!

Jitambue!
 
kwa maneno hayo yanaonesha ukoje upstairs na haustaili kuwa mtu ambaye unadai au kutaka wewe uwe ..
(intelligent person)
sifa za mtu makini angetafuta hiyo habari ili kuja kuniprove wrong kuwa ni uongo, wewe umeshindwa kufanya hivyo
kama ulikuwa unajihisi au kujiona wewe ni mtu makini safari bado ndefu mno

kwa kumalizia tu tembelea mtandao wa allafrica
au tafuta magazeti ya the citizen kati ya june 2 mpaka june 18 2011

btw hii habari ilishaletwa humu ikajadiliwa nashangaa wewe umekurupuka now mkuu

yale yale niliyokuwa nayasema
safari yako bado ndefu sana

Wewe ndio mkurupukaji hata mpangilio wa hoja zako ni wa kikurupukaji....suala lilikuwa wewe utoe chanzo cha taarifa yako uliyopost, sasa kwa nini hukuweka hizo kitu katika taarifa zako.....unapoandika jambo unataka watu wachangie njoo na source ndipo watu wachangie sio wachangiaji wakutafutie vyanzo vya habari yako...kazi ya mchangiaji ni kuona kama chanzo chako ni reliable na kuchangia...wewe umeweka tetesi..na bado unadefend tetesi zako za kijiwe cha kahawa

hoja c kwamba mimi ni mtu makini au la, hoja ni chanzo cha taarifa yako , wewe umekosa umakini na kupost habari based on hearsay, usikosolewe...unaelewa maana ya kuwa critical thinker.....mimi c mjumbe ndio mkubwa......whether mimi ni intelligent or not is still a matter of fact...upo hapo
 
Imesemekana kuwa kuna mwanamke mmoja amekamatwa ambaye anajihusisha na masuala ya madawa ya kulevya, kakamatwa ila ni baada ya msaada wa Barack Obama ambaye aliiambia nchi yetu kuwa kuna mwanamke anaitwa flani bin flani anaishi sehemu flani anajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya kwa nchi si chini ya kumi duniani.

Ndipo baada ya Obama kuwapigia simu jamaa wetu wa usalama na CIA wakakurupuka kwenda kumkamata na kumkuta huyo mama na passport zaidi ya nne. Sasa swali langu nauliza hivi hawa jamaa zetu wa mambo ya usalama walikuwa wapi mpaka mtu anakuwa drug dealer mkubwa na hatujawa na nguvu ya kumkamata mpaka CIA wamgundue na kumuomba rais wao Obama awashinikize watu wetu kumkamata?

whats so special alichonacho huyo mama mpaka obm ampigie simu jk, nchini kwake kuna familia za mafia na yakuza na magenge mengi ya walatini america, (mexicans, colombians) aache hao adili na huyo mbongo mmoja......hujanipata bado
 
Back
Top Bottom