Click_and_go
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 451
- 5
vyuo vikuu ndivyo visima vya mawazo yenye thamani na yanayoweza kusaidia katika kusukuma gurudumu la maendeleo la nchi hii na nyingine nyingi, na ndio maana hata wenzetu huko nje kama Rais Barack Obama walitumia muda wa kampeni zao mpaka vyuo vikuu wakiamini kuwa wasomi wanazo changamoto mbalimbali zitakazo wawezesha kuongoza nchi zao ustadi na kuleta maendeleo,,,lakina ninaona muheshimiwa kukanyaga vyuo vikuu ni shughuli pevu,,,,kuna nini huko????????????