Rais Magufuli: Wanafunzi UDOM waliofeli wakatafute vyuo vya saizi yao

Sikatai anacho kisema ila huyu mkuu nahisi hayupo saw (anatatitizo), tatizo lake ni hili, anataka kulazimisha fito kupinda wakati imesha kacha.

kuna mambo 2 ambayo kayasema na yamenigusa.
1. Taifa letu tuliweke mbele kwanza siasa zije nyuma. Kila mwanasisa na watawala haya ndio maneno yao ila kivitendo wako vyengine kabisa, ila ukweli ni kwamba siasa ndio zinaongoza nchii hii.
2. Wanafunzi walio fukuzwa kuitwa vilaza. Nilianza kwa kujiuliza swali hivi hawa wanafunzi walisoma wapi huko mwanzo?, nikagundua ni nchii hii hii na sio Kenya o ruwanda, na km ni nchi hii hii wengi wao walitoka shule za serekali, so inamaana wakuitwa mwanzo vilaza ni hao walimu walio wasomesha na serkeli ndio watoaji hizo huduma za elimu, kwhiyo walio sababisha wawe vila ni serekali kulingan na mifumo yao ya elimu.

Madaraka mda mwengine huwa yanaleta kiburi, jeuri na misifa ila wacha tuone wape tunaenda lakini kwa nguvu hizi zakutaka kupindisha lori lenye mwendo wa kasi kwenye kona eti kwasababu ww ndie dereva mkuu iko siku tutaona maajabu yake.
 
Rais John Pombe Magufuli amesema idadi kubwa ya wanafunzi waliofukuzwa hivi karibuni katika Chuo kikuu cha Dodoma waliokua wakisoma kozi maalum hawakua na sifa stahiki za kudahiliwa kusoma kozi hiyo na kwamba wanaostahili watatafutiwa nafasi kupata elimu hiyo.

Amesema pia alikuwa anasubiria wanafunzi wengine wa UDOM kugoma na wote wangeondoka. Na ametaka watu kuacha siasa kwenye masuala ya msingi


Pia amesema alimuuliza Prof. Kikula imekuwaje wasio na sifa wamekuwa admitted na kupata registration, Prof. akajibu alilazimishwa! Ni nani alimlazimisha huyo Prof.? Prof. nae hakuona kuwa sio sahihi kukubali hali hiyo? Halafu huu mchezo wa kulazimisha wataalam kwenda kinyume na utaalam haukuanza leo, halafu na wataalam waliowengi wanakubali!!!
 
Kuna dogo namfamu alipata div 2 na pcm ilibalance fresh na alikuwa na A ya hesabu, na diploma hapo udom alikuwa anawaburuza,sasa sijui huo ukilaza wake unatoka wapi, tena ni mtoto yatima, first borb, baba yai alikufa akamwacha yuko darasa la 4 sasa sijui itakuwaje, maana maama ndo anahangaika kuleo wadogozake kwa kuuza tambi,. Magufuli Mahugufuli mama kama huyu alitegemea mwanae aajire baada ya mwakanmmoja ali aisaide familia, daaah ama kwelu mbuz wa maaikini hazai, dogo kasoma kwa taabu sanaaaaa
 
Sikatai anacho kisema ila huyu mkuu nahisi hayupo saw (anatatitizo), tatizo lake ni hili, anataka kulazimisha fito kupinda wakati imesha kacha.

kuna mambo 2 ambayo kayasema na yamenigusa.
1. Taifa letu tuliweke mbele kwanza siasa zije nyuma. Kila mwanasisa na watawala haya ndio maneno yao ila kivitendo wako vyengine kabisa, ila ukweli ni kwamba siasa ndio zinaongoza nchii hii.
2. Wanafunzi walio fukuzwa kuitwa vilaza. Nilianza kwa kujiuliza swali hivi hawa wanafunzi walisoma wapi huko mwanzo?, nikagundua ni nchii hii hii na sio Kenya o ruwanda, na km ni nchi hii hii wengi wao walitoka shule za serekali, so inamaana wakuitwa mwanzo vilaza ni hao walimu walio wasomesha na serkeli ndio watoaji hizo huduma za elimu, kwhiyo walio sababisha wawe vila ni serekali kulingan na mifumo yao ya elimu.

Madaraka mda mwengine huwa yanaleta kiburi, jeuri na misifa ila wacha tuone wape tunaenda lakini kwa nguvu hizi zakutaka kupindisha lori lenye mwendo wa kasi kwenye kona eti kwasababu ww ndie dereva mkuu iko siku tutaona maajabu yake.
Huwezi amini kuna wanywa viroba wanashangilia hizi kauli za Pombe.
 
Tatizo lenu mwenyekiti wenu ni Kilaza. Ndo maana mnapingana na Magufuli pale alipofukuza vilaza kusoma chuo kikuu
kama ni kilaza napropose wakashindane wenyeviti hawa kuhutubia kwa ki english utajua nani kilaza zaidi, kwa ufahamu wangu ukiwa mwana CCM hushindwi kitu Nape ana mastets, wengine wana phd wengine walipewa uprofessor kitu sijawahi kukiona Duniani!
 
Magu siku akikosa watu wa kufukuza tutakuja kufukuzwa wananchi tutafte pa kwenda kwani Rais ni mgeni nchi hii programa kama hii kipindi inaanzishwa kwa nini akuipinga Waafrika tutaacha lini unafiki.
Na alikuwa waziri, alihudhulia vikao vyote vya kupitsha agenda hyo, bungen alisema ndioooo na kugonga meza.
 
hivi mkuu alisoma combi gani vile? kama sikosei alisoma kipisi ambacho mwaka wa tatu unasoma diploma ya education!

Naona hapa mkuu katoa ushahidi kuwa waliosoma vipisi vilaza, japo mimi siamini hilo na silusoma kipisi, labda kwakuwa alisoma kipisi anajua ukilaza kwa practical kabisa, japo hapo udsm wqlikuwepo wengine walisoma vipisi wakawa ma bright wakaishia engineering au core courses nyingine zaidi ya education!
 
Hivi hao watoto walikuwa wanasoma degree au Special Diploma? Maana naona mkuu anasisitiza juu ya Degree wakati taarifa zilizopo ni kuwa walikuwa wanasoma Special Diploma.

Hapa Kazi Ipo tu.
 
Alichokisema magufuli ni kwamba wanafunzi hao wa UDOM waliofukuzwa waliopata one na two serikali itafanya namna ya kufanya kufidia kilichotokea ila hao wenye three na four ndo watafute vyuo vya saizi yao na ndo kawaita vilaza.
Kulikuwa na sababu ya kuwatusi? Au makabila mengine hawajui kumtusi mtu? Ukweli unampa mwenye makosa lakini anaekosewa hutumiwa lugha yengine kumwambia ukweli. Rais anapowaita vilaza alikusudia kuwasaidia au kuwakomoa? Busara haina gharama yoyote!
 
Huwezi amini kuna wanywa viroba wanashangilia hizi kauli za Pombe.
Huwezi kulazimisha lori lilo na mzigo tena liko na mwendo wa kasi kulipindisha kona na likawa salama, kama huyu jamaa ataendelea hivi hivi basi iko siku tutaona matokeo yake.
 
Ndalichamo anasema yake na Magu naye snasema yake! Yaani ni total confusion!
 
Ndalichamo anasema yake na Magu naye snasema yake! Yaani ni total confusion!
 
NNdali anasems hawakuondolewa kwa kukosa sifs bali kwa sababu ya mgomo wa waslimu ulioshindikana kusuluhisha, Magu anasema wengi ni vilaza! Kazi kwelikweli!
 
ni mdau wako magu lkn kwa hilo la udom sipo na ww uwez ukawafukuza watoto wadogo kama mbwa ndan ya nchi yao angali awana makosa, kosa ni la jk lkn leo hii umempa uwenyekiti udsm si yatajirudia? kama walivyo dahiliwa kwa mujibu wa sheria ndio ungetumia mfumo huo kuwarudisha makwao. KURA 7000 ZA WANAFUNZ + 7000 ZA WAZAZI = 0 , 2020 KUA MAKIN
 
Back
Top Bottom