mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
je rais kuwa mwenyekiti mtahoji?Ni kweli kabisa. Hii falsafa ihamishiwe mpaka kwenye chama. Haiwezekekani mtu anakuwa anakuwa mbunge halafu hapohapo yeye ni Mwenyekiti wa CCM )(W). Au mtu anakuwa Msemaji wa Chama halafu yeye ni Mbunge. Na hilo nalo tulione hadi kwenye ngazi ya Mwenyekiti wa CCM (Taifa), haiwezekani mtu awe yeye Rais halafu ahodhi uenyekiti wa Chama!