Rais Magufuli utakumbukwa kwa lipi kama tu vita juu ya ufisadi umeachwa mbali na Kikwete?

Tumewasamehe mafisadi wote! Sasa tutengeneze Tanzania mpya! Wahenga wanasema Tusahau yaliyopita tugange yajayo! Tukianza kufukua makaburi muda huu tutajikuta miaka mitano imesepa hatujafanya chochote kile! Watanzania tuache Roho mbaya tusahau yaliyopita! Chuki hazijengi!
 
Uwezo wa kupambana na ufisadi tunao, nia tunayo, na sababu tunayo!

Kwanini MAGUFULI hataki kupambana na mafisadi? Kwanini anasema hataki kufukua makaburi?
Labda kafuata ushauri wa mrisho mpoto kwenye wimbo wa sizonje
 
Kauli yake ipo sahihi wewe km unataka kufukua makaburi basi uanzie ya Adam na Hawa utaweza
He is very right kuendeleza palipofikiwa kuweka mambo level
Wabishi mtanyooka tu Hapa Kazi Tu
 
Tumewasamehe mafisadi wote! Sasa tutengeneze Tanzania mpya! Wahenga wanasema Tusahau yaliyopita tugange yajayo! Tukianza kufukua makaburi muda huu tutajikuta miaka mitano imesepa hatujafanya chochote kile! Watanzania tuache Roho mbaya tusahau yaliyopita! Chuki hazijengi!
Lugumi wa juzi uyu ila kaachiwa kizembe sana, issue ya ufisadi ni ngumu kuishinda maana sikutegemea LUGUMI anaweza kupita kiraisi sana na kushindwa kuazibiwa tena kwa awamu hii ya mtu nilinuona yupo serious labda kuzibiti watumishi wa umma tu ndio atafanikiwa
 
Hawezi kujinyonga mwenyewe MV DSM,Nyumba za serikali na tenda za barabara .Bora apambane na wauza machungwa,mama ntilie,wabeba mizingo and the like.Mafisadi Lowasa ,Change,Lugumi,jk and the like aachane nao wale vyao.
 
Nilitegemea Mswada wa kwanza kupeleka bungeni ungekuwa wa kupunguza mshahara wa rais kutoka milioni 35 kwa mwezi mpaka angalau milioni 5 hivi......

Wakifatiwa wafanyakazi wengine waandamizi wa serikali ndio tuje kwa wafanyakazi wadogo.

Lakini matokeo yake kilichokimbizwa bungeni ni miswada ya
1 : kuondoa fao la kujitoa
2: kutengeneza mswada hatari kwa vyombo vya habari
3: Na sasa mswada wa kupunguza mishahara ya wafanyakazi.

Kwenye kupambana na ufisadi ndio umechemka kabisa huko kwani umeshaaidi kuwalinda mafisadi wakuu wa nchi hii...

Fisadi mwenzao mwingine umefanikisha akapewa cheo kikubwa bungeni huku ukisahau kuwa yeye ndiye chanzo cha hizo Escrow, Rada na mengine mengi alipokuwa mwanasheria mkuu wa serikali..

Hakika nimeiona nguvu ya soda baada ya kauli yako juzi kuwa uwezi kufukua makaburi maana ukifukua utashindwa kuyafukia.....

Imani yangu ilikuwa imebaki kwako kwenye swala la kupambana na ufisadi kumbe ni Zero kabisa.

Kama unashindwa kumkamata aliyekula pesa ya kiwanda Lindi utaweza kumkamata anayelipwa milioni 400 kila siku kupitia IPTL?

Hapa kwenye kupambana na ufisadi umezidiwa hata na Kikwete kipindi hiki alikuwa tayari ameshaikamata ile Nyumba iliyokuwa imejengwa south Africa na kiongozi mmoja wa hawamu ya 3 tena ndani ya mwaka 1

Chenji ya Rada ilikuwa imeanzishiwa mchakato wa kurudishwa nchini kutoka uwingereza.

Magufuli utakuwa hauna cha kukumbukwa kama umeshindwa vita juu ya ufisadi.....

Zaidi ya maneno mengi na mikwala kibao lakini unakuwa kama nyoka aliyetolewa meno ya sumu.

Unalinganisha vitu visivyo linganishika na ku mis lead watu. Huwezi kutegemea kuwa kiongozi ataingia kwa style ileile aliyoingilia aliyemtangulia. Mazingira atakayokuta ni tofauti aliyokuta mtangulizi. Kwa hiyo na huyu naye akatafute nyumba ya kukamata SA? Pia huwezi kumlinganisha JPM kwa mwaka mmoja umlinganishe mtu ametumikia miaka 10.
Kila mmoja anakuja na priorities zake. Muda kama huu waliotangulia wote walikuwa wamejenga km ngapi za lami? wamejenga mabweni mangapi vyuo vikuu? library? Acheni afanye kazi.
 
Huyu si mtetezi wa wanyonge kama anavyodai ila ni mpenda sifa. hawezi punguza mshahara wake wala hawezi pambana na mafisadi coz ukichimba sana unaweza kukuta nae ni fisadi
kumbuka huyu sio mgeni serikalini, alikuwepo kitambo. ufisadi mwingine ulifanyika akiwa waziri inawezekana alihusika
 
Nilitegemea Mswada wa kwanza kupeleka bungeni ungekuwa wa kupunguza mshahara wa rais kutoka milioni 35 kwa mwezi mpaka angalau milioni 5 hivi......

Wakifatiwa wafanyakazi wengine waandamizi wa serikali ndio tuje kwa wafanyakazi wadogo.

Lakini matokeo yake kilichokimbizwa bungeni ni miswada ya
1 : kuondoa fao la kujitoa
2: kutengeneza mswada hatari kwa vyombo vya habari
3: Na sasa mswada wa kupunguza mishahara ya wafanyakazi.

Kwenye kupambana na ufisadi ndio umechemka kabisa huko kwani umeshaaidi kuwalinda mafisadi wakuu wa nchi hii...

Fisadi mwenzao mwingine umefanikisha akapewa cheo kikubwa bungeni huku ukisahau kuwa yeye ndiye chanzo cha hizo Escrow, Rada na mengine mengi alipokuwa mwanasheria mkuu wa serikali..

Hakika nimeiona nguvu ya soda baada ya kauli yako juzi kuwa uwezi kufukua makaburi maana ukifukua utashindwa kuyafukia.....

Imani yangu ilikuwa imebaki kwako kwenye swala la kupambana na ufisadi kumbe ni Zero kabisa.

Kama unashindwa kumkamata aliyekula pesa ya kiwanda Lindi utaweza kumkamata anayelipwa milioni 400 kila siku kupitia IPTL?

Hapa kwenye kupambana na ufisadi umezidiwa hata na Kikwete kipindi hiki alikuwa tayari ameshaikamata ile Nyumba iliyokuwa imejengwa south Africa na kiongozi mmoja wa hawamu ya 3 tena ndani ya mwaka 1

Chenji ya Rada ilikuwa imeanzishiwa mchakato wa kurudishwa nchini kutoka uwingereza.

Magufuli utakuwa hauna cha kukumbukwa kama umeshindwa vita juu ya ufisadi.....

Zaidi ya maneno mengi na mikwala kibao lakini unakuwa kama nyoka aliyetolewa meno ya sumu.

Tupe data za ufisadi uliotokea katika kipindi cha Magufuli Vs Ufisadi uliotokea katika kipindi cha JK na hasara zake kwa Taifa
 
Ishu ya ushahidi wa mlungula imeishia wapi?
[HASHTAG]#mboweachausanii[/HASHTAG]
Mbowe ameombwa ushahidi na chombo gani akakataa kuutoa? PM, kinana na sendeka hakuna aliyekanusha kuhonga wabunge. Subiri PM akanushe ndo mumuulize Mbowe kuhusu huo ushahidi.

Haya tuambie kuhusu lugumi na escrow yaliishia wapi maana ripoti zote za CAG na kamati za bunge zilionesha ufusadi, au mahakama ya mafisadi ni hewa?
 
Nachoweza kumsifu JK aliikoa hii nchi maana kuna fisadi papa mmoja alitaka kua Raisi kupitia CCM, JK akamchinjia baharini mbali sana. JK anastahili tuzo kwa hili kwa kweli, nchi iikua inaangukia kwa wapiga dili
 
Navyoona kwa mbali hii govt itakua imefeli sana kwa mambo mingi pindi iondokapo madarakani sioni lolote jipya analolisimamia kwa sasa.
 
Back
Top Bottom