Afyayaakili
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 904
- 1,176
Hawa mishahara 17 huwa wanatusumbua sana Bar.
Kweli kabisa mkuu,yaan huwa nashanga sana napowaona wapinzani wanatetea majipu.Watakuja hapa watasema wanamwonea huyo mtumishi!
kuna jamaa hapo juu kamuelezea labda umfatilie vizur huyo Funza.hana jina?
HahahaaaaMishahara 17?? Ina maana angestaff mara 17?? Dah nchi hii watu wameifaidi sana.
Hii ni hatari sana, watu wanahaha na mshahara mmoja ye anayo 17? Hata kama analipwa laki 3 kila mahali, hana shida!Hawa mishahara 17 huwa wanatusumbua sana Bar.
Mahakamani haendi analindwa na mtandao wake unaoongozwa na vigogo.Amesema yupo tra.na wanampeleka mahakamani
View attachment 333298
Aliechora katuni kanifurahisha sana.
Sioni umuhimu wowote wa rais kutaja mshahara wake. Sitegemei uwe chini ya milioni 30 kwa mwezi. Na kwa JPM, chochote anachopokea, anastahili. Anapiga kazi.View attachment 333298
Aliechora katuni kanifurahisha sana.
Jana nilisema Lumumba bila ya kumtaja Lowassa mbingu zitatikisika!! Lowassa ni MCC!!Atakuwa na uhusiano na Lowassa
Utaendelea kupinga kila jambo na ipo siku utapinga kuwa hukuzaliwa na mama yako bali ulidondoka tu toka juu.Porojo za MAGUFULI, bahati mbaya hakuna mtu kama huyo!