rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,212
- 20,202
Rais yuko sahihi labda namna alivyoeleza kuna watu walikuwa wanaongeza mshahara kwa kusingizia hali ngumu mfano tumeouona kwa wabunge lakini nini matokeo yake kulikuwa na mfumiko mkubwa wa bei kwani mwenye nyumba alipandisha kodi, mfanyabiashara alipandisha bei za vyakula kila huduma ilipanda bei lakini akianza kupunguza hiyo mishahara mikubwa wale wanaopata mishahara hiyo wataanza kuwafikiria watu wanaopata mishahara midogo walikuwa wanaishije maana sasa hvi watu bila aibu wamekuwa wakijipandishia gharama za huduma bila kuangalia mwananchi wa kawaida kipato chake kikoje .
Lakini pia rais atapunguza malalmiko toka sekta nyingine ambazo zimekuwa zikidai zimedidimizwa
Sasa tutaona kasi ya Msechu kujenga nyumba zinazoangalia tabaka la kati na juu atamuuzia nani
Lakini pia rais atapunguza malalmiko toka sekta nyingine ambazo zimekuwa zikidai zimedidimizwa
Sasa tutaona kasi ya Msechu kujenga nyumba zinazoangalia tabaka la kati na juu atamuuzia nani