Oops! Sikusoma vizuri hii post, nilifikiri mabalozi, kumbe wazee wa dar. Hapo lazma atakuwepo hata kama angekuwa anashughuli nyingine angeahirisha. Mi ni mzalendo nitaangalia TBCITV imethibitisha hivyo, na matangazo yatarushwa moja kwa moja kuanzia saa saba mchana.