==Halafi==Imefika Hatia===Tatizo la vijana wengi walioko humu wanaongozwa na mihemko ya kisiasa na halafi wanafata maagizo ya viongozo wao wa vyama, yaani imefika hatia baadhi ya vijana hawawezi kuwaza wenyewe mpaka wawaze kwa hisani ya viongozi wao wa vyama, mbona kuna vitu vinahitaji akiri ndogo tu yako mwenyewe, punguzeni ukada acheni kweli ifanye kazi, hivi kuna kosa gani Raisi akuongea na wazee wa Mkoa wa Dar?
ITV imethibitisha hivyo, na matangazo yatarushwa moja kwa moja kuanzia saa saba mchana.Rais sidhan kama atakuwepo, atatuma mwakilishi kwan atakuwa na shughuli nyingi au nje ya Dar!!
Lowassa na wazeeToka nyerere afichwe na wazee hawa mwaka 1964 kwenye ghasia za jeshi marais wote wanawaheshimu hawa, hata angeingia lowasa ungesikia hivyo hivyo!
Umesoma kichwa cha habari ukaelewa!!??? Umeambiwa anaongea na "Wazee wa Dar" kesho na sio Wazee wa CCM. Achana na mihemko ya kisiasa itakuacha mpweke au utamuacha mkeo mjane.Lowasa in wa Chadema lakini JPM sasa hivi ni wa TZ na anafanya kazi ya nchi na kuwajibika kwa nchi sio kwa chama chake pekee
Hivi huko UKAWA huwa mnashauriana nn hasa kwa akili kama hizi? Acha uchama ndugu hautakufikisha popote...Mbinu ile ile aliyotumia kikwete naona sasa magu naye kesha ikamata, naona anataka kutoa maelezo ya nini kilitokea siku alipo wakimbia wadhungu
Ni kama vile usingependa kumsikiliza?Rais magufuli kesho ataongea na wazee wa mkoa wa dsm kuanzia saa 8 mchana diamond jubilee, yale yale ya jk yameanza
Bavicha bana kila kitu kupinga huu utaratibu upo toka enzi za Nyerere rais kuongea na wazee wa Dar es Salaam.Rais magufuli kesho ataongea na wazee wa mkoa wa dsm kuanzia saa 8 mchana diamond jubilee, yale yale ya jk yameanza
Kuongea na wazee ni ujinga? Sasa hivi ndiyo namuelewa Mkapa.huu ujinga wa nini sasa bwana Pombe?
Wazee wa Dar why not wazee wa kisonge ambao busara zao dira ya CCM.Umesoma kichwa cha habari ukaelewa!!??? Umeambiwa anaongea na "Wazee wa Dar" kesho na sio Wazee wa CCM. Achana na mihemko ya kisiasa itakuacha mpweke au utamuacha mkeo mjane.
Hujasikia kuwa mwaliko ni kwa kadi. Vinginevyo wazee wa UKAWA watajaa ukumbini.Anaongea na wazee wote wa dsm au ni wale wazee wa ccm peke yao???
Akimaliza kuongea na wazee wa Dar ataenda kuongea na wazee wa Moshi umefurahihivi wazee wa Dar ni akina nani?
Inamaana nchi hii wazee wapo Dar tu?