Je serikali inaweza kugharamia Elimu ya watoto wote kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu?Baada ya kuzuia watoto wa matajiri kusomeshwa Chuo Kikuu na Serikali yetu ambapo ni jambo jema, hatua ya pili iwe kwenye ajira hasa Serikalini na Mashirika ya Umma kwamba kipaumbele na upendeleo wa makusudi vitolewe kwa aliyesoma Shule za Kata mpaka Chuo Kikuu, kama akikosekana alipitia Shule za Kata mwenye ujuzi unaotakiwa ndiyo waangaliwe waliosome Shule binafsi, ...
yani hao wenye elimu zinazoeleweka kama havard na oxford hawafai eeh??Baada ya kuzuia watoto wa matajiri kusomeshwa Chuo Kikuu na Serikali yetu ambapo ni jambo jema, hatua ya pili iwe kwenye ajira hasa Serikalini na Mashirika ya Umma kwamba kipaumbe, ...
we need competence and not sympathy.
kila mwanafunzi bila kujali kasoma wapi, lazima apimwe na wezake na aonekane kuwa na uwezo wa kudeliver.
sio huruma.
sidhani kama kuna kitu kama hicho.Soma nilichoandika kama ukipenda, nimesema kama wote wana vigezo sawa basi wa Shule za Kata apewe upendeleo maalumu!
Kuna wengine mazingira yao yamebadilika-kwa mfano aliyemsomesha amestaafu na mafao yake ni duni, wengine walikuwa wanasaidiwa na ndugu ambao sasa hawana tena ule uwezo.Hivi jamani tuwe wakweli tu. Umesoma Marian au Canossa au FEZA hadi form 6. Unashindwaje kulipa ada ya chuo ambayo mara zote kwenye Vyuo vingi iko chini ukilingqnisha na Secondary School za Private?
Kama upo shortsighted pia si rahisi kuona makosa. Suala la elimu sio la kucheza nalo. Tulidhani tunaelekea kwenye elimu bure had vyuo vikuu. Ila kwa mtazamo huu. Tutasubiri sanaOh basi sawa mkuu ila ye amesema pale me. Sjaona makosa....
Lazima atambue ya kwamba Hela hizo zinazopatikana kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi wa vyuo ni kodi za wananchi,sasa yeye anataka kujiamulia tu Hvi kuna watu wanashindwa kumshauri rais......naona Hata Bunge linashindwa kuingilia kati Suala hilo!
Ova
Sijajua kama Mhe analifikiria hili jambo sawa sawa. Kwani Wapo watu tunaishi nao wameshatumbukia kwenye umaskini kwa kusomesha watoto wao private, nia ya wazazi hawa haikuwa mbaya lakini sasa uchumi wao imeyumba ukisema hauwapi mkopo sababu tu walisoma private unawanyima haki hao watoto. Suala hili liangaliwe upya.
Mwambieni sisi tunakomaa tu, tunawasomesha private school na university tutalipia tu, kumchukia mwenye nacho haikufanyi wewe kuwa na ahueni kimaisha huo ni upuuzi tu
Hatujali tena.... Namsomesha mwanangu private na akifika chuo anakwenda soma kwa pesa yangu c kwa mikopo yenu ya pasua kichwaaa... We fAnya utakavyo
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Hakumaliza alifukuzwaga kule, akaenda kumalizia wapi sijui!! Wajuvi njoeni huku mtujulishe.Anasahau kwamba hata yeye alisoma Katoke Seminary kule Biharamulo, ile ni public school??
Kwenye issue ya baadhi ya vyuo vya private kutolewa macho sana nakuunga mkono..kuna vyuo vimezuiliwa kudahili kisa kukosa sifa,lakini kwa uchunguzi wangu mdogo tu,nimeona kama ni isssue ya kubana wasipate mkopo..vyuo vingi bongo,standard haitofautiani sana,japo mapungufu yapo,ila sio ya kumsababishia kijana asipate elimu,inayoweza kuja kulisaidia taifa baadae..
Mimi nilitegemea, na wala sishangai...hivi kweli hutegemei kusikia kauli kama hizi toka kwa Magu? Upo hapa hapa duniani!!Huu ni ubaguzi wa kiwango cha juu kabisa, sikutegemea kusikia kutoka kwa mkuu wa nchi.
Wakuu wangu mko sawa kwa kujiangalia hali zenu, utata unakuja kwa wale ambao walipitia private schools na hali za kifadha za wazazi/ walezi/wadhamini zimebadilika. Hawa ndiyo wanao umia zaidi kwa kukosa mikopo. Ni watanzania wenzetu inabidi tuwatetee wasikose elimu kwa kuwa tu wakati fulani walisomea private.
Na kwa kuongezea tu, maneno haya yamenaswa na HANSARD ya MBINGUNI, na yanafanyiwa kazi.Mungu siyo fala , anausikia huu ulevi wa madaraka na nina hakika atatenda haki .