Rais Magufuli: Kama umesoma 'private school' atakayekupa mkopo ni kichaa

Hivi jamani tuwe wakweli tu. Umesoma Marian au Canossa au FEZA hadi form 6. Unashindwaje kulipa ada ya chuo ambayo mara zote kwenye Vyuo vingi iko chini ukilingqnisha na Secondary School za Private?
Ni kwa nini mzazi alipe ada ya mtoto mpaka chuo kikuu!?

Lazima ifikie mahali watoto waanze kujitegemea na kuunza kukabiliana na majukumu. Kwa mawazo yako mwishoni mtoto atagraduate, mshahara mdogo then utaanza kumlipia na kodi ya nyumba.

Serikali ije na criteria ambazo zitawaaccommodate wote bila kujali uwezo wa mzazi. Sasa kama leo ni Waziri halafu kesho nikapigwa chini kama Nape then what!!?

Hao watoto wa shule za kata wanaodhauriwa inawezekana nyumbani wana ng'ombe 500 lakini wazi wao hawasumbuliwi.
 
kama kiongozi kuongea hivi sidhani kama amefikirisha ubongo,
OGOPA sana mtu anayekunyima elimu ni zaidi ya m ch...aw....i
kuna kupanda na kushuka kwenye maisha
  • leo mzazi anacho kesho hana....
  • mzazi anafariki ghafla
  • mzazi kafukuzwa kazi
  • mzazi amefilisika
  • mwanafunzi alikuwa ana private sponsor akaamua kujitoa
sio kauli ya kiungwana ,taifa linahitaji kuelimika elimu yetu sio ya ushindani
kuna mwanasiasa mmoja mashuri TZ alikuwa anahubiri kipaumbele chake cha kwanza ni ELIMU,ELIMU,ELIMU
watu wakipata elimu nchi itaendelea ,maendeleo sio kununua bombardier ana kujenga flyover...... MTU anayejali vitu na kuacha utu sio mtu mzuri, wape vijana elimu waelimike walete changamoto mpya kwenye Taifa

N.B Ujinga ndio mtaji mkubwa wa kura za CCM
Hv wee umemskliz vzr alv sema?? Kama uja evidence uzipeleke ndipo utapewa mkopo.

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
kama kiongozi kuongea hivi sidhani kama amefikirisha ubongo,
OGOPA sana mtu anayekunyima elimu ni zaidi ya m ch...aw....i
kuna kupanda na kushuka kwenye maisha
  • leo mzazi anacho kesho hana....
  • mzazi anafariki ghafla
  • mzazi kafukuzwa kazi
  • mzazi amefilisika
  • mwanafunzi alikuwa ana private sponsor akaamua kujitoa
sio kauli ya kiungwana ,taifa linahitaji kuelimika elimu yetu sio ya ushindani
kuna mwanasiasa mmoja mashuri TZ alikuwa anahubiri kipaumbele chake cha kwanza ni ELIMU,ELIMU,ELIMU
watu wakipata elimu nchi itaendelea ,maendeleo sio kununua bombardier ana kujenga flyover...... MTU anayejali vitu na kuacha utu sio mtu mzuri, wape vijana elimu waelimike walete changamoto mpya kwenye Taifa

N.B Ujinga ndio mtaji mkubwa wa kura za CCM
Kauli hii mkuu imejaa ukakasi mkubwa sana, tunaomba walio karibu nae waseme nae madhara kwa watoto wengi.
 
Tunapo elekea, naona mnaelekea kumshauri kwamba watoto walio soma private schools wafunguliwe mashtaka kwa jinai.....

Wivu na roho mbaya ni kitu kibaya sana aiseeeee, yaani niache kumlipia mwanangu pesa kwa shule ninayo ipenda mimi eti kwasababu Rais kasema...

Anyway... Ama mnataka mtoto asipewe/akose haki yake ya msingi, eti kwasababu Baba yake alimlipia shule ya gharama kwa utashi wake ili mwanae apate msingi bora, then leo mnabadilisha na kuhalalisha kwamba eti hapo mtoto anaadhibiwa kwa kosa la mzazi....
 
Baada ya kuzuia watoto wa matajiri kusomeshwa Chuo Kikuu na Serikali yetu ambapo ni jambo jema, hatua ya pili iwe kwenye ajira hasa Serikalini na Mashirika ya Umma kwamba kipaumbele na upendeleo wa makusudi vitolewe kwa aliyesoma Shule za Kata mpaka Chuo Kikuu, kama akikosekana alipitia Shule za Kata mwenye ujuzi unaotakiwa ndiyo waangaliwe waliosome Shule binafsi, ...
Vilevile hata ccm kwa wanachama wapokelewe kwanza waliosoma shule za kata maana hawa ndo wanachama na makada wazuri na hata kodi TRA iwatoze kwanza waliosoma shule za kata iwe kodi ya corporation tax, excise duty, import duty, withholding, na kadhalika!
 
Wewe una matatizo mkuu,,nani kakwambia wote tumelipa ada hiyo ? Usidhani kila private school ni fedha,,mimi primaly nimelipa kama laki 6 mpaka 7 kwa mwaka,,olevel m1 na laki 5 kwa mwaka ,advance mil 1 laki 2 kwa mwaka,

Na hizo zote hazikuokotwa,,wazazi wetu walijinyima,,kupanda daladala sio kama hawakupenda gari,
Hahahaha ulitumwa uende uko ndo sasa komaa ss tulosoma serkal kuanzia chekechea ad now tuna peta tuu na viboim vyetu nyie komaeni tuu kama wazaz waliwez kukulipia hy m1.5 kwa mwaka wanashindwa nn kujibana kukulipia hyo sahiz.. Komaa mzee baba usitegemee mkopo wa serkal labda upate mkopo wa NGOS ukohvi

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Lazima atambue ya kwamba Hela hizo zinazopatikana kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi wa vyuo ni kodi za wananchi,sasa yeye anataka kujiamulia tu Hvi kuna watu wanashindwa kumshauri rais......naona Hata Bunge linashindwa kuingilia kati Suala hilo!

Ova
 
Mh yupo sahihi sana na unga hoja mkono kbsa
Haingii akilini mtu anasoma olevel ada kwa mwaka million 5,
Kunawakati mtu unafikiriii, unaweza hata ukajikuta unamkosea Mungu!! Najiuliza tu, hivi elimu yetu watanzania imefikia hata kutufanya tusiweze kutambua jema ama baya? Naenda mbaili zaidi najifikirisha ni tatizo la Elimu au Umaskini? Hata kufikiri tu hatuwezi???
 
Kweli mtaji wa CCM ni wajinga na wapumbavu.
Hivi unadhani roho mbaya ya maskini itamshusha tajiri chini.
Kinachomfanya maskini aendelee kuwa maskini ni roho ya uchungu (wivu) tu.
Shule za kata wengi ni grade C na D na wachache ni grade B.
Grade A wengi wapo shule za vipaji na grade B wengi wako shule maalumu. Wewe bila shaka ni kilaza mtaalamu wa kukariri.
Shule za kata wanasoma kwa kuungaunga hata wanapofaulu kufika juu kuna vitu vingi wanavikosa.
 
Let him do whatever he likes! hata akisema hakuna kuingia kwenye vyuo vya serikali sawa.... hata akisema waliosma shule za private hakuna kuajiriwa serikalini sawa!
Huyu Rais, hajielewi kbsa! Mbona yeye alisomea Private school na bado akapewa udhamini wa Serikali kusoma chuo!? Haya mazee ya zamani inabidi Mungu ayapoteze, tubaki wenyewe wa kizazi hiki ili tuiongoze Nchi kwa mtindo wa Karne hii la sivyo, yatatufanya tuishi km masokwe msituni! Weledi wao ni finyu ktk kuiongoza Nchi, wkt wenzetu wanapiga hatua kusonga mbele, sisi tunarudi nyuma
 
Baada ya kuzuia watoto wa matajiri kusomeshwa Chuo Kikuu na Serikali yetu ambapo ni jambo jema, hatua ya pili iwe kwenye ajira hasa Serikalini na Mashirika ya Umma kwamba kipaumbele na upendeleo wa makusudi vitolewe kwa aliyesoma Shule za Kata mpaka Chuo Kikuu, kama akikosekana alipitia Shule za Kata mwenye ujuzi unaotakiwa ndiyo waangaliwe waliosome Shule binafsi, ...

mataahira.jpg
 
Baada ya kuzuia watoto wa matajiri kusomeshwa Chuo Kikuu na Serikali yetu ambapo ni jambo jema, hatua ya pili iwe kwenye ajira hasa Serikalini na Mashirika ya Umma kwamba kipaumbele na upendeleo wa makusudi vitolewe kwa aliyesoma Shule za Kata mpaka Chuo Kikuu, kama akikosekana alipitia Shule za Kata mwenye ujuzi unaotakiwa ndiyo waangaliwe waliosome Shule binafsi, ...
Asiishie hapo hatua inayofuata aweke kipengele cha ajira waanze kuajiriwa wa kanda ya ziwa kwanza itapendeza sana baadae yaje makabila polepole tutafika mnakotaka twende.
 
Watu wamevimbiwa. Hivi kweli kama kufanya kosa si kosa bali kurudia kosa, huyu malaika in charge atarudi tena 2020?
 
Back
Top Bottom