Sasa mkuu ww umeona kichwa hapo au hujawahi ona treni hata kama ni kichwa je nembo hujaiona au tatizo ni nn?Hivi kilichozungumzwa ni vichwa vya treni kwa maana ya locomotive au mabehewa kama unavyotaka kutuaminisha hapa
Sasa mkuu ww umeona kichwa hapo au hujawahi ona treni hata kama ni kichwa je nembo hujaiona au tatizo ni nn?Hivi kilichozungumzwa ni vichwa vya treni kwa maana ya locomotive au mabehewa kama unavyotaka kutuaminisha hapa
Je ni vichwa vingine visivyo na nyraka rasmi mambo ya kupiga kipindi kike sasa wanaogopa vya moto au ni vile vya mzee wa Misuto?Hivi Mkuu nilidhani binadamu tuna haki ya kutofautiana kimawazo. Kwa nini mimi kufikiria tofauti na wewe liwe kosa la uhaini?
Jifunze kuvumilia na kuheshimu wale wanaotofautiana na mtizamo wako. Ni jambo jema.
Hapa panahitaji ufafanuzi"Juzi mtu amekamatwa na uniform 5000 za jeshi na inaonekana anahusika na hao walioko ndani, halafu unasema wamekaa muda mrefu, au na wewe ni miongoni mwa waliogiza hizo uniform za jeshi," Rais John Magufuli.
Nafikiri hii ndo kubwa zaidi
Mkuu hao ni viongozi wa imani kuwa na nidham
- Kumkemea mchochezi Lowassa aliyetaka baadhi ya watanzania kuwa wa moto kwako ni jambo dogo?
- Kumkemea Lowassa kuacha kuwatetea extremists (UAMSHO) kwako ni jambo dogo?
Ki msingi kama havina mwenyewe basi wavinipe tu nikauze Vyuma Chakavu, hali ngumuRaisi J.P.Magufuli amesema vichwa 13 vya treni vimeshushwa bandarini havijulikani ni vya nani...wakati huohuo TRL wamesema hawajaagiza wala kisain mkataba....hapa kuna kitu.
Uyashangae ya watanzania sio Magufuli...sisi wakurya huwa tunasema "ushangae kwa kutumia kiuno wakati makalio yametulia"Another episode anatafuta kiki kwa treni bandarini ili j3 amake Headlines kwenye vyombo vya habari... Maguguli atakua na undugu na harmorapa
Haiwezekan mzigo unashushwa bandarin bila documents
watu wengine wanaiba sana hadi inakera yaniDah nakumbua kama vile ununuaji wa.mabehewa toka india na sio germany ulikuwa gumzo hapo nyuma
haaaaa Gwaji hafurukutiiiiiiii siku hiziVya Askofu Gwaji boy
Huyu ndo Kiongozi I dreamed of. I hate CCM to the core! But Magufuli I will always support you! Unayafanya yale ambayo yamekuwa yananikera sana. I am really proud to call you Mr. President!
Mapungufu unayo mengi. Lakini hata mimi nina ya kwangu and to that we say: AMEN!
Lowassa anapaswa kuwa Keko mpk usawa huu. Kazidi mno kuropoka. Huwezi kutetea wahalifu.I now agree with those saying that Sizonje is too afraid of Mr Mamvi.
He better deals with strong issues, not as simple statements made by Lowassa.
Mkuu hao ni viongozi wa imani kuwa na nidham
Magufuli na yule aliewaomba mashekhe wakinukishe nani anatafuta kiki?Another episode anatafuta kiki kwa treni bandarini ili j3 amake Headlines kwenye vyombo vya habari... Maguguli atakua na undugu na harmorapa
Haiwezekan mzigo unashushwa bandarin bila documents
Hivi mbona kama nimeona hivyo vichwa vimeandikwa TRL?Aisee hii ni mpya.Sidhani kama kitu kama hiki kimeshawahi kutokea kwenye nchi yeyote nyingine duniani.Raisi J.P.Magufuli amesema vichwa 13 vya treni vimeshushwa bandarini havijulikani ni vya nani...wakati huohuo TRL wamesema hawajaagiza wala kisain mkataba....hapa kuna kitu.
Harmorapa kazidiwa kete siku hizi hasikiki kabisa......labda aende kutoa pole KIBITIAnother episode anatafuta kiki kwa treni bandarini ili j3 amake Headlines kwenye vyombo vya habari... Maguguli atakua na undugu na harmorapa
Haiwezekan mzigo unashushwa bandarin bila documents