sirparadek
Member
- Nov 4, 2015
- 73
- 14
Jamani huyu mwanasheria ndie yule badala ya werema?
Msitegemee rais anayeingia madarakani kwa muhula wa kwanza kutoka chama kilichokuwa kinashika dola kabla yake eti afanye total overhaul uteuzi wa kwanza kabisa wa watendaji wake, haiwezekani!
Lazima atamix, huyo wa sasa ni wapi alipokosea?
Huyu masaju alikuwa sidhani kama atazihimili hoja za akina Lissu. Kipindi kilichopita alikuwa anajiuma uma sana
Seriously?
Na wewe ulimpigia Magufuli?
Kwa nini hukumpigia walau yule mama wa ACT kama kura yako ilikuwa ni 'protest vote'?
magufuli anajua anachofanya, najua Kazi itafanyika tu,
Msitegemee rais anayeingia madarakani kwa muhula wa kwanza kutoka chama kilichokuwa kinashika dola kabla yake eti afanye total overhaul uteuzi wa kwanza kabisa wa watendaji wake, haiwezekani!
Lazima atamix, huyo wa sasa ni wapi alipokosea?
We ulipigia fisadi Lowasa unajutia nini?Nimeshaanza kuijutia kura yangu!
Nilimuona Nyalandu akijipitisha pitisha na kukenua Sana pale jukwaani. Nadhani anajisogeza ili apewe
hana jipya, keshaanza recycling ... next atamteua Tibaijuka wizara ya ardhi, chenge waziri wa sheria, mwigulu fedha, n.k.
kweli CCM NI ILE ILE,MAGUFULI WAPI MABADILIKO?MBOWE SITAKUSAMEHE KWA KUCHELEWESHA MABADILIKO YA KWELI KWA KUMWEKA LOWASA AGOMBEE URAIS
Hahahahah
braza siku si nyingi tutakimbiana humu.... tujipe muda tu.
tushaanza kuisoma namba............