Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Huyu jamaa anaona ndege ni dili sana ee?Amesema ataendelea kusema kwa maendeleo yanayofanyika katika miaka hii minne kulinganisha na miaka zaidi ya hamsini tangu uhuru!
Maendeleo ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa zahanati, barabara, elimu bure nk!
Nyau kabisa