Mkuu wazo lako kama languAmeona lissu anaenda kuzoa umaarufu mwingne mahakaman
Mkuu wazo lako kama languAmeona lissu anaenda kuzoa umaarufu mwingne mahakaman
Hivi mkuu kausikia wimbo wa wagosi wa kaya?
100% agreeKwa mara ya kwanza Rais kategua mtego aliotegewa na wapinzani wake sababu huo wimbo Ney hajatunga hivi hivi bila sababu maalum ya walionyuma yake.
Ha ha wachache wataelewa''966''.............. wanafamilia hao wanajuana. Makao yao makuu kwa africa yapo Nigeria.
Oyeeeeee, tarehe ngapi leo????? Maana naona zimeanza kurudiii
Huyo Katibu wa Basata sasa anajisikiaje huko alipo?
Na wewe leo umeunga mkono kwanini?!!CHADEMA WATAPINGA HILO
HAHAHA
Kijana Umepotea sana mzee kudu kuduAchana na waliomkamata Mkuu, wapo vibaraka wa Jf na kimbelembele chao, I wish it kudu be rumours!!
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, ameliagiza Jeshi la Polisi kumuachia huru Msanii Ney wa Mitego aliyekuwa akishikiliwa na Jeshi hilo.
Waziri Mwakyembe ameishauri pia BASATA kuondoa zuio lake dhidi ya wimbo huo, na badala yake uendelee kupigwa tu kama nyimbo nyingine.
Akiongea na Wandishi wa Habari muda huu mjini Dodoma, Dk. Mwakyembe amesema hata Rais Magufuli amefurahishwa na wimbo huo wa WAPO, na kumshauri Msanii huyo kama inawezekana aendelee kutaja watu wengine kama vile Wakwepa Kodi, Wauza Unga, Wabwia Unga, Wezi pamoja na watu wengine wasio na maadili mema katika jamii.
Nyimbo yenyewe ndio hii
MAONI YA MLETA UZI
Watanzania tumtumie Vizuri huyu Rais kkwa kweli hatakuja kutokea nani alifikiria hili.
Sawa, mwenzio kuna kitu sijakielewaHii inathibitisha ombwe la utawala bora na abuse of power iliyotamalaki - amepanda mbegu (bangi) na sasa anaona matokeo yake (ameona anaanza kuvuna bangi). yeye ni alfa na omega! Polisi, mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu, nk. wanafanya maamuzi (mara nyingi mabaya) wakifikiri wanamfurahisha alfa na omega! Hata uzuiaji wa press conference ya Nape na nguvu kubwa iliyotumika ilikuwa ni bangi hiyo hiyo! Kama ameanza kutambua kosa hili, basi anastahili pongezi.
Ili na sisi kuwa wasanii tuweze kuji express bila kuburuzwa mahakamani, vigezo gani vinahitajika?CHADEMA WATAPINGA HILO
HAHAHA
Vijana wa ufipa watamwekea vikwazo Ney wa MitegoCHADEMA WATAPINGA HILO
HAHAHA