Rais Macron atua Afrika licha ya maandamano ya kupinga ziara zake

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,379
8,121
GBA6C2Q6WFCOBLCGIMASGQV4WU.jpg

Ziara hiyo ya Rais Emmanuel Macron imeanzia Nchini Gabon na kufanya mazungumzo na Rais Ali Bongo na baadaye ataelekea Angola, Congo-Brazzaville na DRCongo ambako tayari kumeibuka vurugu za kuipinga ziara hiyo.

Ziara hizo zinafuatia hatua ya #Urusi kuanza kujenga uhusiano na Nchi zilizowahi kutawaliwa na Wakoloni wa Ufaransa, ikiifuatia #China ambayo imeanza kujihakikishia uungwaji mkono na Nchi nyingi za Afrika.

Makundi ya makubwa ya Vijana waliandamana wakiwa na Bendera za Urusi nje ya Ubalozi wa #Ufaransa huko Kinshasa ili kulaani ziara hiyo. Maandamano ya kuipinga Ufaransa yalizuka pia katika makoloni yake ya zamani ya #Mali na #BurkinaFaso.

==============

France’s President Emmanuel Macron began a tour of Central Africa on Wednesday in a diplomatic drive to test a new "responsible relationship" with the continent as anti-French sentiment runs high in some former colonies.

He landed in Gabon's capital Libreville on Wednesday and will later head to Angola, Congo-Brazzaville and the Democratic Republic of Congo.

Macron's trip comes as alarm grows in Paris over Russia's rising influence in French-speaking African countries; joining China, which has been present in the region for some years.

Burkina Faso, according to official correspondence seen by AFP on Wednesday, has told France it is renouncing a 1961 agreement that provided a legal basis for French military aid.

In a speech on France's Africa policy on Monday, Macron called for a "mutual and responsible relationship" with the continent of more than 50 countries, inclusive of climate issues.

He reiterated a pledge to break with former post-colonial policies.

THE EASTAFRICAN
 
Mrusi atawaumiza Kichwa sana
Ndio maana Tunataka Urusi yenye Nguvu ili kuleta Usawa Duniani
china,Urusiwakiwa Na Nguvu Naimai Manyanyaso kwa Africa Kiasi yatapungua na kama si kuisha
 
GBA6C2Q6WFCOBLCGIMASGQV4WU.jpg

Ziara hiyo ya Rais Emmanuel Macron imeanzia Nchini Gabon na kufanya mazungumzo na Rais Ali Bongo na baadaye ataelekea Angola, Congo-Brazzaville na DRCongo ambako tayari kumeibuka vurugu za kuipinga ziara hiyo.

Ziara hizo zinafuatia hatua ya #Urusi kuanza kujenga uhusiano na Nchi zilizowahi kutawaliwa na Wakoloni wa Ufaransa, ikiifuatia #China ambayo imeanza kujihakikishia uungwaji mkono na Nchi nyingi za Afrika.

Makundi ya makubwa ya Vijana waliandamana wakiwa na Bendera za Urusi nje ya Ubalozi wa #Ufaransa huko Kinshasa ili kulaani ziara hiyo. Maandamano ya kuipinga Ufaransa yalizuka pia katika makoloni yake ya zamani ya #Mali na #BurkinaFaso.

==============

France’s President Emmanuel Macron began a tour of Central Africa on Wednesday in a diplomatic drive to test a new "responsible relationship" with the continent as anti-French sentiment runs high in some former colonies.

He landed in Gabon's capital Libreville on Wednesday and will later head to Angola, Congo-Brazzaville and the Democratic Republic of Congo.

Macron's trip comes as alarm grows in Paris over Russia's rising influence in French-speaking African countries; joining China, which has been present in the region for some years.

Burkina Faso, according to official correspondence seen by AFP on Wednesday, has told France it is renouncing a 1961 agreement that provided a legal basis for French military aid.

In a speech on France's Africa policy on Monday, Macron called for a "mutual and responsible relationship" with the continent of more than 50 countries, inclusive of climate issues.

He reiterated a pledge to break with former post-colonial policies.

THE EASTAFRICAN
Macron anaonekana beberu kabisa. Beberu live bila chenga.
 
Back
Top Bottom