ntemintale
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 952
- 1,872
Haifai na haipendezi Rais kumteua na kumuapisha Jaji Mkuu.
Jaji Mkuu alipaswa kuomba nafasi hiyo na chombo kama kamati ya majaji inampitisha na kumwapisha ili kulinda Uhuru wa Mahakama.
Kwa mtindo wetu huu Mahakama haiko huru kabisa. Yaani mhimili wa Mahakama uko ndani ya Dola/Rais.
Jaji Mkuu alipaswa kuomba nafasi hiyo na chombo kama kamati ya majaji inampitisha na kumwapisha ili kulinda Uhuru wa Mahakama.
Kwa mtindo wetu huu Mahakama haiko huru kabisa. Yaani mhimili wa Mahakama uko ndani ya Dola/Rais.