Rais kuingilia taratibu za ibada

Wale wanaosema yupo sahihi hakuna shida hebu kasomeni kisa cha mtu mmoja aitwaye Uza aliyejaribu tu kugusa sanduku

2 SAM. :6:6
Hata walipofika kwa uga ya Nakoni, Uza akalinyoshea mkono sanduku la Mungu, akalikamata kwa maana wale ng’ombe walikunguwaa.

2 SAM. :6:7
Ndipo hasira ya BWANA ikawaka juu ya Uza; naye Mungu akampiga huko kwa kosa lake; hata akafa pale pale penye sanduku la Mungu.

Au hata mfalme Sauli aliyechukua jukumu la kutoa sadaka ya amani badala ya nabii Samuel ambaye ndiye alipaswa kufanya hivyo kwa kisingizio cha kuchelewa kwa nabii ktk 1 Samuel 13

Mungu ni Mungu wa utaratibu ukiuvunja ni kosa na kuna adhabu zake
 
Anafanya Hivyo Kama Muumini Wa Kawaida Tu. Tena Zaidi Anapaswa Kupewa Nafasi Ya Kuhubiri Neno La Mungu Pamoja Na Kuwa Ana Utukufu Wa Urais Na Itifaki Yake Inazingatiwa Awapo Kanisani
 
wewe ndio mpuuzi.raisi kaonyesha kuwa ni mtanzania wa kawaida sana na ana uwezo wa kufanya kazi nyingi mbalimbali kwa mikono yake.kukusanya sadaka ni kuingilia liturujia? hujui ukatoliki wewe kwenda zako.
Kwann ajionyeshe kuwa ni mtz wa kawaida, Kwan kuwa rais kuna utofati gn na mtz mwngne muuza kuni huko kgoma, utofauti ni magu analindwa na muuza kuni anajilinda ila wote n watz tu,
 
Umechemka sana kwa mtazamo wako uwo, hakuna ilitrojia yoyote iliyovunjwa pale, Raisi was Burundi Nkurunzinza yeye binafsi uenda kanisani kufanya usafi kabla ya ibada, na anakuambia anamtumikia aliye mkuu kuliko wote, sasa we we unakuja na swala la kukusanya sadaka.......!bado sana
Kwani nkurunzinza ndio benchmark kwenye dini ? Viongozi wa afrika wengi ni wanafiki Tu , nkurunzinza anang'ang'ania madaraka na kuuwa watu wanaopinga halafu ndio awe role model ?
 
Imekua kama kansa sasa Rais Magufuli kuingilia taratibu za kawaida za ibada .

Anachofanya wakati wote ni unajisi tuu na hakina tafsiri yoyote. Mengine ni kampeni za kijinga aonekane si mdhambi.

Wanaosali Oysterbay katoliki wanajua kero hizi. Yaani watu Hawasali tena kwa utulivu kisa sifa za kisiasa.

Jana mpaka anajipeleka kukusanya sadaka wakati kuna wahudumu huandaliwa kabisa kwa kila tukio ndani ya adhimisho.Kuna siku atataka na kukomunisha na Pengo atakenua tuu.

Hapa nasimamia liturjia yetu Katoliki upuuzi huu ufe mara moja. Atumie chapel ya ikulu inamtosha.

Wengi including viongozi katoliki ambao kwa sasa wamegawanywa na siasa na kufumbwa midomo wako kimya tu .

Upuuzi nyamazeni sisi mawe tunasema. RAIS HESHIMU IBADA ZETU TAFADHALI.
wee kweli fisi,tatizo ni nini
 
Nimemuelewa sana muanzisha uzi. Si jambo baya kujitolea kufanya jema pale inapolazimu. Kwa jinsi nilivyoangalia clip ya juzi na kama muumini mkatoliki nayasema haya:-

1. Tukubaliane tu kuwa mtu yeyote maarufu anapofanya jambo mbele ya hadhara hata kama ni dogo ana uwezo wa kuvuta hisia na "attention" ya watu kutoka katika kile wanachofanya kuelekea kwake kwa maneno mengine (he becomes a centre of attention). Na katika jambo kama la kuabudu ambapo MUNGU ndiye kiini cha kusanyiko inakuwa si vyema sana.

2. Kwenye video niliona watu wa usalama na walinzi wa raisi wakizuia watu kumsogelea rais. Ikumbukwe ile ni Misa na si mikutano ya hadhara hivyo kila mtu katika kutoa sadaka angependa kufanya hivyo katika moyo wa ibada bila kuzongwa. Hilo ni kosa.

3. Na mwisho, kama lililofanyika Mbeya linatokea kila mara Parokia ya Oysterbay basi sina shaka kuwa Mh. Magufuli aone tu kuwa ni busara kuwaacha wasaidizi wa misa ambao kila Jumapili wanachaguliwa kwa kazi hiyo wahudumie watu. Ikumbukwe Magufuli akinyanyuka kanisani na wasaidizi wake wanalazimika kumlinda hivyo kunaharibu utulivu wa kuabudu.

USHAURI WANGU: Mh. Rais aige tu kwa Nyerere ambaye alionekana mnyenyekevu Kanisani hata bila ya kuzunguka na kapu la sadaka. Kuna mambo mengi ambayo si dhambi ila yakifanywa mahali sipo yanaleta "disorder" na hili si lazima mtu awe maarufu. Hata akitokea yeyote yile Kanisani akaanza kujichukulia kapu la sadaka kukusanya bado haimfanyi mdhambi ila si utaratibu na ndiyo maana kuna watu maalum kila Jumapili (wakiwa na utambulisho) hupewa hilo jukumu.
ASANTE MTUNGA MADA.
Asante
 
Nkurunzinza aliyeng'ang'ania kuongeza mhula wa utawala na kusababisha mgogoro mkubwa uliogharimu ya maisha ya watu?
Nkurunzinza aliyefunga watoto wa shule gerezani kwa sababu wamemchora kama kikatuni kwenye vitabu vyao?
Kuna watu wa kutolea mifano unapoongelea mambo yako ya kidini, ila sio huyo dikteta wa Burundi katili zaidi ya mnyama mwitu.
Umechemka sana kwa mtazamo wako uwo, hakuna ilitrojia yoyote iliyovunjwa pale, Raisi was Burundi Nkurunzinza yeye binafsi uenda kanisani kufanya usafi kabla ya ibada, na anakuambia anamtumikia aliye mkuu kuliko wote, sasa we we unakuja na swala la kukusanya sadaka.......!bado sana
 
Nimemuelewa sana muanzisha uzi. Si jambo baya kujitolea kufanya jema pale inapolazimu. Kwa jinsi nilivyoangalia clip ya juzi na kama muumini mkatoliki nayasema haya:-

1. Tukubaliane tu kuwa mtu yeyote maarufu anapofanya jambo mbele ya hadhara hata kama ni dogo ana uwezo wa kuvuta hisia na "attention" ya watu kutoka katika kile wanachofanya kuelekea kwake kwa maneno mengine (he becomes a centre of attention). Na katika jambo kama la kuabudu ambapo MUNGU ndiye kiini cha kusanyiko inakuwa si vyema sana.

2. Kwenye video niliona watu wa usalama na walinzi wa raisi wakizuia watu kumsogelea rais. Ikumbukwe ile ni Misa na si mikutano ya hadhara hivyo kila mtu katika kutoa sadaka angependa kufanya hivyo katika moyo wa ibada bila kuzongwa. Hilo ni kosa.

3. Na mwisho, kama lililofanyika Mbeya linatokea kila mara Parokia ya Oysterbay basi sina shaka kuwa Mh. Magufuli aone tu kuwa ni busara kuwaacha wasaidizi wa misa ambao kila Jumapili wanachaguliwa kwa kazi hiyo wahudumie watu. Ikumbukwe Magufuli akinyanyuka kanisani na wasaidizi wake wanalazimika kumlinda hivyo kunaharibu utulivu wa kuabudu.

USHAURI WANGU: Mh. Rais aige tu kwa Nyerere ambaye alionekana mnyenyekevu Kanisani hata bila ya kuzunguka na kapu la sadaka. Kuna mambo mengi ambayo si dhambi ila yakifanywa mahali sipo yanaleta "disorder" na hili si lazima mtu awe maarufu. Hata akitokea yeyote yile Kanisani akaanza kujichukulia kapu la sadaka kukusanya bado haimfanyi mdhambi ila si utaratibu na ndiyo maana kuna watu maalum kila Jumapili (wakiwa na utambulisho) hupewa hilo jukumu.
ASANTE MTUNGA MADA.
Umenena vilivyo
 
Haikuwa sadaka bali michango, ambayo mtu yyt anaweza kukusanya, alifanya hivo ili watu wawiwe kutoa zaidi sijaona ubaya wwt rais wamgu kujishusha mbrle za waumini wenzake
 
Je alipangiwa kukusanya!? Hakuna cha chuki kama wajinga waliokunywa maji ya viatu wanavyodai. Ibada ziheshimiwe.
Swali hilo waulize wahusika hapo kanisani ni siyo ndani ya JF. Kama hamna cha kuandika ni bora kusoma nyuzi wa wengine kwani zitakuongezea elimu na maarifa.
 
Umechemka sana kwa mtazamo wako uwo, hakuna ilitrojia yoyote iliyovunjwa pale, Raisi was Burundi Nkurunzinza yeye binafsi uenda kanisani kufanya usafi kabla ya ibada, na anakuambia anamtumikia aliye mkuu kuliko wote, sasa we we unakuja na swala la kukusanya sadaka.......!bado sana
Mkuu kama unaona sawa jaribu siku moja na wewe kanisani kwako jumapili moja chukua kapu ukusanye sadaka,
Halafu baada ya ibada utuletee mrejesho waumini walilipokeaje ndo utamwelewa mleta Uzi alikuwa anamaanisha nini.
 
Wale wanaosema yupo sahihi hakuna shida hebu kasomeni kisa cha mtu mmoja aitwaye Uza aliyejaribu tu kugusa sanduku

2 SAM. :6:6
Hata walipofika kwa uga ya Nakoni, Uza akalinyoshea mkono sanduku la Mungu, akalikamata kwa maana wale ng’ombe walikunguwaa.

2 SAM. :6:7
Ndipo hasira ya BWANA ikawaka juu ya Uza; naye Mungu akampiga huko kwa kosa lake; hata akafa pale pale penye sanduku la Mungu.

Au hata mfalme Sauli aliyechukua jukumu la kutoa sadaka ya amani badala ya nabii Samuel ambaye ndiye alipaswa kufanya hivyo kwa kisingizio cha kuchelewa kwa nabii ktk 1 Samuel 13

Mungu ni Mungu wa utaratibu ukiuvunja ni kosa na kuna adhabu zake
...utaratibu wa lituljia kaupanga Mungu !? Hivi Kanisani kuna Mungu au Yesu ? Au wote wapo hapo ?
 
Nimemuelewa sana muanzisha uzi. Si jambo baya kujitolea kufanya jema pale inapolazimu. Kwa jinsi nilivyoangalia clip ya juzi na kama muumini mkatoliki nayasema haya:-

1. Tukubaliane tu kuwa mtu yeyote maarufu anapofanya jambo mbele ya hadhara hata kama ni dogo ana uwezo wa kuvuta hisia na "attention" ya watu kutoka katika kile wanachofanya kuelekea kwake kwa maneno mengine (he becomes a centre of attention). Na katika jambo kama la kuabudu ambapo MUNGU ndiye kiini cha kusanyiko inakuwa si vyema sana.

2. Kwenye video niliona watu wa usalama na walinzi wa raisi wakizuia watu kumsogelea rais. Ikumbukwe ile ni Misa na si mikutano ya hadhara hivyo kila mtu katika kutoa sadaka angependa kufanya hivyo katika moyo wa ibada bila kuzongwa. Hilo ni kosa.

3. Na mwisho, kama lililofanyika Mbeya linatokea kila mara Parokia ya Oysterbay basi sina shaka kuwa Mh. Magufuli aone tu kuwa ni busara kuwaacha wasaidizi wa misa ambao kila Jumapili wanachaguliwa kwa kazi hiyo wahudumie watu. Ikumbukwe Magufuli akinyanyuka kanisani na wasaidizi wake wanalazimika kumlinda hivyo kunaharibu utulivu wa kuabudu.

USHAURI WANGU: Mh. Rais aige tu kwa Nyerere ambaye alionekana mnyenyekevu Kanisani hata bila ya kuzunguka na kapu la sadaka. Kuna mambo mengi ambayo si dhambi ila yakifanywa mahali sipo yanaleta "disorder" na hili si lazima mtu awe maarufu. Hata akitokea yeyote yile Kanisani akaanza kujichukulia kapu la sadaka kukusanya bado haimfanyi mdhambi ila si utaratibu na ndiyo maana kuna watu maalum kila Jumapili (wakiwa na utambulisho) hupewa hilo jukumu.
ASANTE MTUNGA MADA.
Nime kuelewa kiongozi uwezo wako wakufikiri upo vizuri unaonaje 2020 ukagombea ubunge
 
wewe ndio mpuuzi.raisi kaonyesha kuwa ni mtanzania wa kawaida sana na ana uwezo wa kufanya kazi nyingi mbalimbali kwa mikono yake.kukusanya sadaka ni kuingilia liturujia? hujui ukatoliki wewe kwenda zako.
Yes kaingilia utaratibu wa misa,kukusanya sadaka hakupangiwa kufanya hii kazi,wapo watu waliopangiwa ndio maana hata yeye anapoendesha mikutano yake huwezi kuona watu wanaingilia ratiba iliyopangwa,binafsi heshima yangu kwa kanisa hili imeshanitoka long time ago,ninasali nyumbani kwangu ,juzi kati kuna mtu aliingilia hotuba yake kutaka haki yake,kwa kauli yake tulimsikia nini aliamrisha kwa polisi wake wakifanye dhidi ya mlalamikaji huyu,ni huyu huyu no 1 alishatamka kuwa hatajali kuona suspects wakipigwa risasi na kuuliwa hata kama mmoja wao ni ndugu yake,kauli kama hii inaonyesha ni jinsi gani alivyo katili na sio muumini wa uhuru wa kisheria ,ni mahakama tu yenye uwezo wa kuhukumu.ukiona umefurahishwa na kituko hiki cha our no 1 kuingilia mpangilio wa ratiba ya ibada ,elewa hata katika maisha yako hauna mpangilio.
 
Ona aibu acha uongo,
Katoliki haipo holela hivyo ndo maana hakuna kashfa za wizi wa sadaka,upo utaratibu wa kilituljia wa ukusanyaji sadaka na namna ya kuzipeleka altareni,usidhani unajiendea tu km unavyoenda chooni,altale ilipo kukiwepo Ekaristi tu huwa panapewa utakatifu maalumu sababu tunaamini Kristo mwenyewe huja,ndo maana kuna utaratibu wake wa kufanya lolote pale
Wewe unadhani kashfa zote huko makanisani au hata huko Katoliki zinatangazwa? Kuna nyongo za wizi wa sadaka kiasi ambacho hizo kamati zinavunjwa na kuundwa kila kukicha. Scandal za wizi wa sadaka hazifanywi hadharani kwa mtu kukusanya kama alivyo fanya Rais, sadaka zinaibwa kule ndani, kule nyuma ya altale, ndani ya vyumba vya viongozi wa kanisa. SIYO HADHARANI popbwinyo!
 
Haikuumi sababu wewe sio wa imani na unalamba viatu tu bila kujua kama hayawani.!JINGA.
Sasa wewe nyumb***** kinachokuuma nini?Kwanini usipambane na Hali yako tu?Maana huyo jamaa yupo hadi 2025.
 
Back
Top Bottom