The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
Mambo mengine ni hasira tupu.
Mmeshindwa yafuatayo kwa uchache, mtaweza kujenga hiyo reli? Acheni kutunywesha sumu
Hadithi ya kujenga flyover mwaka wa kumi sasa
Kipande cha barabara kigogo jangwani mwaka wa sita sasa
Tabata dampo kigogo (km 2) mwaka wa tatu sasa
Mbezi kinyerezi (km 13) mwaka wa tano sasa
Kituo cha mabasi ubungo zimebaki story tu.
Mtaweza hizo thousands of Kms za reli?
tukisema tutaje msururu wa ahadi ambazo ccm hawajawai kuzitimiza either kwa kiburi chao tu au mazoea yao nahisi tunaweza kujaza server ya JF
Samuel sita ni nani?
sitta alkuwa anaongea uongo na kwa kupotosha makusudi makusudi kutokana na hasira za kukatwatukisema hiki chama na serikali yake vimechoka wengi hawaelewi.
Baada ya lowassa kuahidi kwenye kampeni zake kujenga reli ya kati kwa standard gauge alitoka bwana six na kudai ujenzi utaanza karibuni na utazinduliwa na kikwete na kumsema lowassa kuwa anadandia hoja asizozielewa.
Zikiwa zimebaki siku 16 tufanye uchaguzi naomba mwenye taarifa za uzinduzi wa reli hii atuwekee hapa ili tujue uwongo na ukweli uko wapi.