Rais Kikwete kuzindua ujenzi wa reli mpya ya kisasa

Naona kwenye taarifa ya habari Samuel Sitta anasema Rais Kikwete atazindua ujenzi wa reli mpya ya kisasa, hatimaye Sitta ameweza alichoshindwa Mwakyembe.

Sitta angekaa wizara hii mda mrefu labda hii reli ingekuwepo siki nyingi kama ni kweli after four years tutakuwa na reli mpya basi ni jambo zuri sana.

Chanzo: Taarifa ya Habari TV1

Sera za Lowasa zimeanza kutekelezwa hahaha. Aliahidi General tyre kuifufua na Reli ya kati kuijenga upya. Heko kwa utekelezaji. Kweli lowasa mabadiriko
 
dsc09879.jpg
kwani zamaniwalikuwa wapi kujenga? Mwaka 2010 walikataa elimu bure haiwezekani tena wakasema hata mwl nyerere alishindwa kutoa vya bure,lakini leo wanawalaghai eti inawezekana. Watuambie kwa vyanzo gani vya mapato huku wakijua deni la taifa limepaa kwa zaidi bil 30?
 
Ni kuweweseka tu kumbe inawezekana mpaka wabanwe, hali hii ingetokea toka 2000 tungekuwa na vitu vingi Sana tayari wakuu Tanzania maendeleo inawezekana juzi kiwanda cha matairi kimefunguliwa, Leo reli itaanza kujengwa ghafla tu kesho zitaagizwa ndege za ATC hela IPO basi tuu.....Thanks to UKAWA kura yangu kwa Lowassa ayafanye haya kwa muda sio kwaajili ya kutaka kura

WAMESHIKWA PABAYA MWAKA HUU HAWATOBOI.
 
Hahahaha...Lowasa anawatoa jasho kwelikweli wazee wazima kutwa hawalali ni kusikiliza tu Leo lowasa kasema nini wanasahau kumuuza mgombea wao
 
The Boss hizo ni sera za ccm,
zipo kabla hata wewe hujazaliwa,
ninakushangaa sana unavyoziamini leo.
 
Last edited by a moderator:
kwa taarifa yako hiyo kazi imefanywa na mwakyembe ndie alie tumia ubongo wake kufikiri, sita wa kuingia ofisini saa nne na siku zingine akifanyia kazi nyumbani hana jipya, alafu ndugu yangu hii sio ujenzi wa kibanda chako pale kigamboni unaamua over night
 
Naona kwenye taarifa ya habari Samuel Sitta anasema Rais Kikwete atazindua ujenzi wa reli mpya ya kisasa, hatimaye Sitta ameweza alichoshindwa Mwakyembe.

Sitta angekaa wizara hii mda mrefu labda hii reli ingekuwepo siki nyingi kama ni kweli after four years tutakuwa na reli mpya basi ni jambo zuri sana.

Chanzo: Taarifa ya Habari TV1

Mkuu The Boss mbona kama vile naona ni mkurupuko? Kwanza kabisa reli ya kati kujengwa upya ilikuwa ni ahadi ya JK, hajatekeleza na amepotezea, imerithiwa na JPM. Haiwezekani mgombea kuifanya kipaumbele halafu Rais anayeondoka aweke jiwe la msingi...

Nasema reli ya kati inapaswa kujengwa haraka iwezekanavyo...tulidanganywa na tunaendelea kudanganywa...
 
Last edited by a moderator:
Uongo walikuwa wapi hadi reli.air tz vinakufa.aibu kubwa kwa watawala na ccm hautawamini tena.ccm imeichoka nchi.lazima mabadiriko yanahitajika.
 
Waanze tu ila kura hatuwapi!
Magufuli atangaze kuwa elimu ni bure mpaka chuo kikuu na sio form four /six kama ilivyokwenye ilani yake!

Wafanye chapchap basi waanze na mipango ifuatyo kabla ya uchaguzi ili tuwape kura:-Wafufue shirika la ndege,tembo na twiga warudi home,bei ya chakula ishuke,thamani ya shilingi ipande,elimu ya bure,wafufue mashirika ya umma,wafute mikataba inayotuumiza,mashirika ya umma yarudi mikononi mwa serikali nk.Naamini kwa kasi waliyoanza nayo kwenye reli ni dalili njema kwa hiyo kufikia october watakuwa wapo mbali katika haya.
 
Back
Top Bottom