Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
Katika mazungumzo yake, Mheshimiwa rais ametahadharisha endapo kuna mgombea yeyote wa urais atajitokeza na kusema kwamba yeye (JK) amemchagua, basi ieleweke kuwa hiyo haikuwa dhamira yake.
JK ameyasema hayo kufuatia kupokea ujumbe kutoka kwenye simu ya mkononi ulioomba 'baraka' zake kwenye nafasi hiyo inayowaniwa kwa sasa, ambao aliujibu kwa mkato 'Good-luck'.
"Mgombea mmoja alinitumia message akasema aumenisaidia sana kufika hapa naweza kushika hata hiyo nafasi yako, nipe baraka zako.. nikamwambia ‘goodluck‘ sasa sijui ataitumia hiyo goodluck yangu kusema mzee amenichagua mie!" J.K Kikwete.
Bashiri: Uonavyo wewe unahisi mgombea gani ndio atakuwa amemtumia meseji JK?
Hisani: TimesFM
JK ameyasema hayo kufuatia kupokea ujumbe kutoka kwenye simu ya mkononi ulioomba 'baraka' zake kwenye nafasi hiyo inayowaniwa kwa sasa, ambao aliujibu kwa mkato 'Good-luck'.
"Mgombea mmoja alinitumia message akasema aumenisaidia sana kufika hapa naweza kushika hata hiyo nafasi yako, nipe baraka zako.. nikamwambia ‘goodluck‘ sasa sijui ataitumia hiyo goodluck yangu kusema mzee amenichagua mie!" J.K Kikwete.
Bashiri: Uonavyo wewe unahisi mgombea gani ndio atakuwa amemtumia meseji JK?
Hisani: TimesFM