nngu007 JF-Expert Member Aug 2, 2010 15,862 5,797 Dec 8, 2010 #1 Kila Mechi Rais Wetu kuhudhuria Jijini Dar Es Salaam Taifa Stars inafungwa au Sara haishindi Wana Jamii hamuoni kuna ni busara kwa Rais Kukaa Nyumbani kuliko kwenda Uwanjani?
Kila Mechi Rais Wetu kuhudhuria Jijini Dar Es Salaam Taifa Stars inafungwa au Sara haishindi Wana Jamii hamuoni kuna ni busara kwa Rais Kukaa Nyumbani kuliko kwenda Uwanjani?
S superfisadi JF-Expert Member May 22, 2009 553 52 Dec 8, 2010 #2 tatizo huwa anafuatana na majini ya yahaya yanawachanganya taifa stars wanajikuta wakizunguka uwanjani kama watalii
tatizo huwa anafuatana na majini ya yahaya yanawachanganya taifa stars wanajikuta wakizunguka uwanjani kama watalii