shaban tweve
New Member
- Dec 18, 2014
- 2
- 1
Aludishe na akraaa
Alikuwa anamuogopa nini mpka amuitie wazee.
Kwa maamuzi haya ina maana Professeli Tibaijuka anaende sasa kufaidi mgawo alioupata wa 1.6 billioni ?
Je, atafirisiwa ?
Je, atashitakiwa ?
Je, atarudisha hiyo pesa ?
Au ndo mtindo tuliouzoea wa kujiuzulu na kwenda kufaidi matunda uraiani ?
Naomba nieleweshwe.
Akili ya abunuwasi.
Wewe nawe akili zako zinakutosha wewe na familia yako tu. Ndio maana huoni kuna kosa! BTW kama kusingekuwa na kosa sasa ''ameombwa'' apumzike kwasababu gani?kama hujasikiliza/hujaitazama hotuba yake isome imo humu kabla hujaanza kutupia vinyesi vyako humu.
Kwa mfano, anna unampeleka mahakamani kwa kosa lipi? lakupewa hela na ruge? utakuwa chizi wewe kama sio shoga. kaendelee kujiuza jishoga wewe.
Leo imeandikwa historia, haijawahi kutokea wazee wa Dar Es Salaam katika mkutano wao na JK kumshinikiza kutoa uamuzi. Wamefanya hivyo kwa kupiga vigelegele vya fujo kusapoti uamuzi wa Bunge kwamba Tibaijuka ang'oke, kisha wakazomea na kusema kwa sauti ya juu "hatumtaki". Mpaka JK akachanganyikiwa na kusema "mbona ninapata kikohozi!", kisha kinyume na alivyopanga, nguvu ya umma ikamlazimisha kumtema Tibaijuka. Alipomtema, wakashangilia "CCM! CCM! CCM! CCM!" hadi ikabidi wanyamazishwe. Kuona hivyo, kwa Muhongo hakuruhusu hisia za watu, akasema haraka haraka anamuweka kiporo Muhongo na kumaliza ghafula hotuba, ili asilazimike kumng'oa na Muhongo! Kuna shidaaaaa ndani ya Chama hiki, hata Wazee wa CCM nao wamekichoka Chama chao!!!!
Leo imeandikwa historia, haijawahi kutokea wazee wa Dar Es Salaam katika mkutano wao na JK kumshinikiza kutoa uamuzi. Wamefanya hivyo kwa kupiga vigelegele vya fujo kusapoti uamuzi wa Bunge kwamba Tibaijuka ang'oke, kisha wakazomea na kusema kwa sauti ya juu "hatumtaki". Mpaka JK akachanganyikiwa na kusema "mbona ninapata kikohozi!", kisha kinyume na alivyopanga, nguvu ya umma ikamlazimisha kumtema Tibaijuka. Alipomtema, wakashangilia "CCM! CCM! CCM! CCM!" hadi ikabidi wanyamazishwe. Kuona hivyo, kwa Muhongo hakuruhusu hisia za watu, akasema haraka haraka anamuweka kiporo Muhongo na kumaliza ghafula hotuba, ili asilazimike kumng'oa na Muhongo! Kuna shidaaaaa ndani ya Chama hiki, hata Wazee wa CCM nao wamekichoka Chama chao!!!!
Ukishakuwa kiongozi wa uma huruhusiwi kupokea zawadi kubwa bila kutoa taarifa. Haijalishi fedha ulizopokea ni haramu au halali. Hii sheria imewekwa ili kuondoa ''conflict of interest''. Chukulia mfano: kesho wewe na huyo Ruge mmegombania issue fulani mkafikishana kwa waziri Tibaijuka, je unafikiri anaweza kumtosa mtu aliyempa bilioni moja? Jibu ni hapana.
Kafanya maamuzi kwa aibu tu ila alitaka kumbeba Tibaijuka.
Rais Kikwete amedai kuwa:
- Waziri Tibaijuka tumekaa naye; tumemuuliza fedha zilikuwa za nini... Ameeleza ni za shule...
- Tibaijuka tulishindwa kuelewa sababu ya fedha kuingia kwa jina lake na si la shule, akadai ndo masharti ya mtoaji
- Waziri Tibaijuka alifanya makosa kimaadili; tumemwomba AnnaTibaijuka apumzike tumteue mwingine!
Rais amedai Prof; Prof. Muhongo tunamweka kiporo; kuna uchunguzi nimeagiza ufanywe sijapata majibu. Tutafanya maamuzi anytime