Anaitwa Asha-rose. Naona udini unakusumbua mpaka umeondoa rose mwishoni.
Hahahaha!! Foxy bana dini inamsumbua saanaa
Anaitwa Asha-rose. Naona udini unakusumbua mpaka umeondoa rose mwishoni.
Unashangaa mtu kufeli UN haushangai mtu kufeli upadri.Semeni mteule wa jk huyooooo! Lowasa ushapata mpinzani
Mtu amefeli UN akafukuzwa leo amekuwa lulu ya chama tawala na jamhuri inajiandaa kumuweka awe rais? Michezo ileile iliyotokea kwenye uspika ndio inajirudia kwenye urais 2015
Dr Slaa njia ya Ikulu ni nyeupe kwako ikiwa chama kitakupa nafasi ya kugombea
Unajua watu wengine wamezoea vijiwe vya kahawa humu wako kwa bahati mbaya tu.Mnaosema Migiro alikuwa under-performer UN mnao ushahidi?? kama upo wekeni hapa coz hatujasikia allegations kama hizo kumhusu yeye..
Au ndo yale ya "wivu wa kike" ??
ametemwa UN halafu wa TZ wanaona jembe.Hana lolote huyo.wanataka aongeze idadi kwenye bunge maalumu la katibaRais Kikwete amemteua Dr Asha-rose Mtengeti Migiro kuwa mbunge wa bunge la Tanzania kuanzia jana Jumatatu.
Uteuzi umetangazwa rasmi jioni hii Ikulu ya Dar es salaam
Hongera Dr. Asha Migiro wakati wowote JK atamkabidhi wizara.
Sasa kwanini alipo omba aongezewe muda UN alikataliwa?Unajua watu wengine wamezoea vijiwe vya kahawa humu wako kwa bahati mbaya tu.
Kwa mema gani aliyoifanyia Tanzania ambayo ni ya kipekee (Special merits) kwamba anatakiwa kupewa ubunge wa bure tuongezea mzigo mzito walipa kodi. Amerudhishwa UN for under performance sisi tunamzawadia ubunge wa bure. Hii nchi itatuchukua miaka mingi mno kuendelea