MKWECHE
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 299
- 64
Hatime sauti ya mtu aliye nyikani Mbunge wa Monduli kuhusu tatizo la vijana imesikika kwa Rais wetu Kikwete.
Akiwa kwenye kikao cha viongozi wa nchi za maziwa makuu Rais Mh.Dr.Kikwete amekiri kwa wenzake kuwa tatizo la ajira kwa vijana ni kubwa na linatakiwa kufanyiwa kazi Haraka lisije leta madhara siku za usoni.
Mie Mwa-Mkweche nasema hivi mchango mkubwa katika kutatua hili jambo Mh.Lowassa aliongea sana kupindi kile TBC,Cha ajabu lile tabaka la ma-simple mind likaja juu eti lowassa anapendelewa na TBC.
MKWECHE Nafungunga''Nchi yoyote ambayo itabeza na Kuacha kuzikiliza na kufanyia kazi Maoni ya wanasiasa Wakongwe Itayumba'
Akiwa kwenye kikao cha viongozi wa nchi za maziwa makuu Rais Mh.Dr.Kikwete amekiri kwa wenzake kuwa tatizo la ajira kwa vijana ni kubwa na linatakiwa kufanyiwa kazi Haraka lisije leta madhara siku za usoni.
Mie Mwa-Mkweche nasema hivi mchango mkubwa katika kutatua hili jambo Mh.Lowassa aliongea sana kupindi kile TBC,Cha ajabu lile tabaka la ma-simple mind likaja juu eti lowassa anapendelewa na TBC.
MKWECHE Nafungunga''Nchi yoyote ambayo itabeza na Kuacha kuzikiliza na kufanyia kazi Maoni ya wanasiasa Wakongwe Itayumba'