Rais Kikwete aahirisha kuongea na 'Wazee wa Dar'; sasa kuongea nao Jumatatu wiki ijayo

Atazungumzia matibabu yake y tezi dume na kushukuru kwa pole zenu na tena atataja hadi idadi ya sms alizopokea
 
Umesahau na vicheko vyake vya hapa na pale......naamini atajichekesha sana atakapozungumzia uchaguzi

Haya ni miongoni mwa maneno ambayo ni lazima jk akiwa anacheza na akili za watu hupenda kuyatumia sambamba na vicheko, "Watu wanasema, nimeambiwa, nasikia, inasemekana"
 
Kesi ya nyani kapelekewa ngedere unataraji nini hapo?

Use commonsense bro.

mkuu TataMadiba kakuumbua, umejifanya ku-preempty hotuba ya Rais ila kwa mtu aliyefuatilia sakata la ESCROW hapana shaka vyombo vya habari, wahisani, wanaharakati na makundi mengine yamelipotosha sana.Rais hawezi kuacha kuyagusia kwa sababu ndiyo uhalisia wenyewe
 
Atazungumzia matibabu yake y tezi dume na kushukuru kwa pole zenu na tena atataja hadi idadi ya sms alizopokea

Aise wewe ndo umemtabiri kwa usahihi zaidi. Halafu aliambiwa ajipumzishe kwa miezi mingapi ili kupona yale matezi yake?
 
Haya ni miongoni mwa maneno ambayo ni lazima jk akiwa anacheza na akili za watu hupenda kuyatumia sambamba na vicheko, "Watu wanasema, nimeambiwa, nasikia, inasemekana"

Swadakta kabisa mkuu Skype...naamini maamuzi ya bunge hatayatekeleza kwa kuhofia kesi iliyofunguliwa jana mahakamani na IPTL...
.na atasema hivyo huku anacheka cheka.
 
Last edited by a moderator:
Hahah. Kaka umeua!!! Naomba sana hii sired iwepo mpaka jumanne. Naamini aliyosema mkuu yataenda sawia na mkulu wa magogoni.

Kikwete janga la taifa
 
Swadakta kabisa mkuu Skype...naamini maamuzi ya bunge hatayatekeleza kwa kuhofia kesi iliyofunguliwa jana mahakamani na IPTL...
.na atasema hivyo huku anacheka cheka.

"Haya mambo ya kisheria tuwaachie watu wa mahakama wao ndio watatoa hukumu" by jk j3
 
Last edited by a moderator:
Waswahili husema lisemwalo lipo na kama halipo laja. Umeweza kuyasema hayo siyo kwa sababu wewe ni mbashiri sana, la hasha ni kwa sababu yapo ndugu yangu. Hata Rais naye akija kuyasema hayo ni katika kudhihirisha tu kuwa karibia watu wengi wamelichukulia hivyo. Na hata mimi naamini hivyo kuwa wanasiasa, wandishi wa habari na wahisani wamelipotosha sana sakata la ESCROW. Tumwhukuru mungu kuwa mnaliweka wazi kwa wananchi ili waweze kuwapuuza watu hao japo umeliweka kwa namna ambayo unataka kumtupia mzigo Rais kuwq yeye ndiye kawatuhumu.
TUWE TU WA KWELI N WALA TUSIMSINGIZIE RAIS ulichokiandika ndiyo uhalisia wenyewe.
 
mkuu TataMadiba kakuumbua, umejifanya ku-preempty hotuba ya Rais ila kwa mtu aliyefuatilia sakata la ESCROW hapana shaka vyombo vya habari, wahisani, wanaharakati na makundi mengine yamelipotosha sana.Rais hawezi kuacha kuyagusia kwa sababu ndiyo uhalisia wenyewe

Basi mwambie aunde tume huru ya kijaji kuchunguza sakata hili na airuhusu kutoa matokeo yake ya uchunguzi moja kwa moja kwa umma bila kwanza ripoti hiyo kupitia kwake.
 
Aise wewe ndo umemtabiri kwa usahihi zaidi. Halafu aliambiwa ajipumzishe kwa miezi mingapi ili kupona yale matezi yake?
Hata mjibarague vipi, jumatatu lazima JK awapige tu, nchi haiwezi kuendeshwa kwa majungu na fitina
 
blue monday, itakuwa red monday kwa wengine. awamu hii imevunja rekodi ya serikali kupata misukosuko.
 
Kwa Kias Kikubwa Ndivyo Itakavyokua. Big Up Sana Mkuu. Tubashirie Na Madiliko Ya Baraza La Mawaziri.
 
Back
Top Bottom