Hata JK aliwahi kumfuta kazi mwajiriwa wa Wizara ya Elimu kwa taarifa za informers bila kufanya uchunguzi...
Mkuki kwa nguruwe...
Chuma kala chuma
Na huyo jamaa alikuja akashinda kesi dhidi ya serikali. Kilichofuata baada ya hapo mkwere akaapa kutokufukuza watu kazi kinyaparanyapara ambayo ilikuwa extreme nyingine kwani kuanzia hapo watu ndio wakafisadi kwa kwenda mbele. Kwa nafasi ya urais extremes zote mbili hazifai-extreme ya jk na extreme ya magufuli pia.