Wanstechnical
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 266
- 223
Akitumia ukurasa wake wa twitter Raisi wa Rwanda ambaye hivi majuzi amepata ridhaa ya kuiongoza Rwanda kwa mara nyingine, amempa pongezi raisi wa Kenya Uhuru Kenyata kwa kuchaguliwa tena kuiongoza nchi ya Kenya baada ya kumgaragaza mpinzani wake Raila Odinga kwa kura 8mill dhidi ya 6mill.