MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 402
RAIS JK Huwa Ananikosha Sana Pale Anapoamua Kuwashushua Wazi Wazi Watendaji Wanaojifanya Wao Ndo Wao Hawataki Kusikia Ki2 Upinzani.
Mfano Steven Wasira Alinukuliwa Akidai Wapinzani Wanapenda Kwenda Ikulu Kunywa Juice Na Rais Na Safari Hii Hata Waandamane Usku Na Mchana Hatutawaita Ikulu, Baada Ya Maneno Hyo Wiki Iliyofuata Rais Aliwaalika Wapinzani Wake Kwenda Kuongea Nao Ikulu Na Wakakubaliana Na Rais Akasema Hoja Za Wapinzani Ni Za Msingi Akawashangaa Wabunge Wa Chama Chake Kuyakataa Mawazo Ya Wapinzani.
Juzi Tena Rais Kakutana Na Wapinzani Wake Wakakubaliana Kuwa Bmk Lisitishwe Hadi Mwakani Na Katiba Iliyo Ifanyiwe Marekebisho Jambo Ambalo Sita,wasira,lukuvi,hawakuwa Tayari Kabisa Bmk Kuahirishwa, Sasa Rais Kawakana Hadharani.
RAIS JK NI MSIKIVU SANA KWAHILI WACHA NIMPONGEZE,TUOMBE MUNGU TUSIPATE RAIS MKAIDI KAMA WASIRA JEURI KAMA SITA. IKIBIDI JK AONGEZEWE MIAKA MIWILI AKAMILISHE HUU MCHAKATO WA KATIBA MPYA. HEKO RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETEEEE, FAGILIA KIKWETEE WAA WAA WAAA
Mfano Steven Wasira Alinukuliwa Akidai Wapinzani Wanapenda Kwenda Ikulu Kunywa Juice Na Rais Na Safari Hii Hata Waandamane Usku Na Mchana Hatutawaita Ikulu, Baada Ya Maneno Hyo Wiki Iliyofuata Rais Aliwaalika Wapinzani Wake Kwenda Kuongea Nao Ikulu Na Wakakubaliana Na Rais Akasema Hoja Za Wapinzani Ni Za Msingi Akawashangaa Wabunge Wa Chama Chake Kuyakataa Mawazo Ya Wapinzani.
Juzi Tena Rais Kakutana Na Wapinzani Wake Wakakubaliana Kuwa Bmk Lisitishwe Hadi Mwakani Na Katiba Iliyo Ifanyiwe Marekebisho Jambo Ambalo Sita,wasira,lukuvi,hawakuwa Tayari Kabisa Bmk Kuahirishwa, Sasa Rais Kawakana Hadharani.
RAIS JK NI MSIKIVU SANA KWAHILI WACHA NIMPONGEZE,TUOMBE MUNGU TUSIPATE RAIS MKAIDI KAMA WASIRA JEURI KAMA SITA. IKIBIDI JK AONGEZEWE MIAKA MIWILI AKAMILISHE HUU MCHAKATO WA KATIBA MPYA. HEKO RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETEEEE, FAGILIA KIKWETEE WAA WAA WAAA