MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Wakati nchi yetu ikiwa na Mikoa kibao yenye kutoa matunda mbalimbali yanayoozea shambani kwa kukosa soko, Rais wetu ametembelea shamba la mananasi huko Ghana baada ya kuonana na Raisi mpya wa Ghana.
Kwa mtazamo wangu, ziara hii ingefanywa na wakulima wa Chalinze ambao ndio wakulima wakubwa wa mananasi wakiongozana na Katibu wa wizara na maofisa wengine wa Kilimo, kuliko kufanywa na watu waliokwenda msibani ambapo sina hakika kama yupo mtaalamu wa kilimo miongoni mwao.
Rais wetu analitembelea shamba hilo ambalo Mwalimu Nyerere aliwahi kulitembelea katika miaka ya 1980, lakini hata hivyo hakuna jipya lililofanyika na ndio maana ziara kama hizi zinapaswa kufanywa na wahusika wa kilimo hicho pamoja na wataalamu badala ya wanasiasa.
source: Michuzi Blog.
Kwa mtazamo wangu, ziara hii ingefanywa na wakulima wa Chalinze ambao ndio wakulima wakubwa wa mananasi wakiongozana na Katibu wa wizara na maofisa wengine wa Kilimo, kuliko kufanywa na watu waliokwenda msibani ambapo sina hakika kama yupo mtaalamu wa kilimo miongoni mwao.
Rais wetu analitembelea shamba hilo ambalo Mwalimu Nyerere aliwahi kulitembelea katika miaka ya 1980, lakini hata hivyo hakuna jipya lililofanyika na ndio maana ziara kama hizi zinapaswa kufanywa na wahusika wa kilimo hicho pamoja na wataalamu badala ya wanasiasa.
source: Michuzi Blog.