amilyroley
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 621
- 1,199
Akiongea Jana pale Zanzibar kwenye uzinduzi wa kampeni za Mh Dr Shein, Raid JK aliwaambia wazi wanachama wa CCM kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni shida. JK ameliona wazi hilo na ni vizuri kuwaambia ukweli wanachama na si kuwadanganya kuwa ushindi upo. Mwaka huu ni mgumu kwa CCM na inahitajika miujiza ya Mussa na Haroun ili CCM kushinda