HatariiiiAmenunua ndege kwa pesa za mikopo ya wachina hio, halafu unakuja mpa pongezi za kijinga hapa. Ni sawa na kumpa pongezi rafiki yako anaeishi nyumba ya kupanga kanunua gari kwa mkopo wa benki.
Ukiangalia kwenye picha ni kama abiria 132 hivi, ngoja ifike tuone. Kama ni abiria 70 basi ni wastage of resources maana hapo ndio aliposhindwa Precision Air kwa vile soko limebadilika linataka muda mfupi WA safari. Kumbuka wanaopanda ndege ni tabaka la juu pekeeKweli tumpongeze kwa kununua ndege kwa pesa ya madafu yenye uwezo wa kuchukua abiria 70 na inasifa ya kuwa na panga boi kwa mbele!! Teheeee
MUNGU akubariki sana kwahili akupe ulinzi wake majungu n moja ya sehemu ya uongozi ukalinde NA damu ya Yesu
Kwa hili nampongeza, mimi ishu yangu ni kuwa kama anafanya mambo mazuri kwa nini anakandamiza demokrasia
MUNGU akubariki sana kwahili akupe ulinzi wake majungu n moja ya sehemu ya uongozi ukalinde NA damu ya Yesu
Taji yake ataipata na kamwe hatotoka ktk masikio ya wa Tz. He is a genius.MUNGU akubariki sana kwahili akupe ulinzi wake majungu n moja ya sehemu ya uongozi ukalinde NA damu ya Yesu