SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,843
- 1,841
Nimepewa tetesi kuwa Rais Magufuli kakataa kuishi Dar na ameagiza kuhamishiwa Dodoma yalipo makao makuu ya nchi.
Mlio jikoni tupeni uhalisia wa hili.
Mlio jikoni tupeni uhalisia wa hili.
Ikulu ndogo ya Chamwino imeanza kufanyiwa Usafi tayari Kumpokea Rais Magufuli. Inasemekana hata Waziri Mkuu ataapishwa katika hii Ikulu ndogo ya Chamwino.
Shughuli nyingi za Rais, zitafanyika kutokea kwenye hii Ikulu.