Rais ateua mshauri wa Diplomasia

BelindaJacob

Platinum Member
Nov 24, 2008
6,474
4,022
Na Boniface Meena

RAIS Jakaya Kikwete amemteua Zahra Nuru kuwa msaidizi wa rais wa masuala ya diplomasia.

Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,Ikulu jana na Katibu Mkuu Ikulu, Michael Mwanda, kwa niaba ya Katibu Mkuu Kiongozi, inaeleza Nuru anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Andrew Daraja ambaye alihitimisha mkataba wake wa utumishi wa umma.
Nuru aliwahi kuajiriwa na Umoja wa Mataifa kabla ya mkataba wake kumalizika alikuwa Mtaalam na Mshauri Mwandamizi wa Katibu Mkuu Msaidizi na Mshauri Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Afrika.

Source: www.mwananchi.co.tz
 
Safiiiii. Sina utaalam sana wa majina, especially femine names!!! Je huyu ni mwanamke au mwanaume??? Ila angalao najua ni jina la Kiislam. Hongera mzee wa kaya. Fadhila unazijua. Kama vile ambavyo taarifa zipo kuwa kila majina matatu yanayotakiwa kupelekwa kwa vetting ni lazima mawili yawe ya Waislam or at least one!!! It means asikosekane katika list!!!! Na kwa sababu you think you are minority then ni lazima Athman na Asha wateuliwe/kupitishwa. Kwa mtindo huu, ndiyo maana tunaona utendaji ulivyo kwa sasa. Soma alama za nyakati mzeee. Wenzako wajanja wana mix au kutafuta vichwa vya kuleta ufanisi. Mbona tusiangalie hata mheshimiwa Obama katika uteuzi??? Alitafuta vichwa hata kama vilikuwa karibu naye lakini hakufanya makosa na kila Wamarekani wanafurahia kwa kutumia vema Demokrasia yao November mwaka jana. Sisi je, ushikaji, undugu, u yakhe, unini , uule n.k.

Inawezekana ana sifa maana alikuwa U.N. Who knows. Yote yanaweza kuwa sawa.
Juzi umefanyika uteuzi wa majaji kumi. Mbona hukusema? Huyo hana sifa? Jamani acheni chuki
 
Safiiiii. Sina utaalam sana wa majina, especially femine names!!! Je huyu ni mwanamke au mwanaume??? Ila angalao najua ni jina la Kiislam. Hongera mzee wa kaya. Fadhila unazijua. Kama vile ambavyo taarifa zipo kuwa kila majina matatu yanayotakiwa kupelekwa kwa vetting ni lazima mawili yawe ya Waislam or at least one!!! It means asikosekane katika list!!!! Na kwa sababu you think you are minority then ni lazima Athman na Asha wateuliwe/kupitishwa. Kwa mtindo huu, ndiyo maana tunaona utendaji ulivyo kwa sasa. Soma alama za nyakati mzeee. Wenzako wajanja wana mix au kutafuta vichwa vya kuleta ufanisi. Mbona tusiangalie hata mheshimiwa Obama katika uteuzi??? Alitafuta vichwa hata kama vilikuwa karibu naye lakini hakufanya makosa na kila Wamarekani wanafurahia kwa kutumia vema Demokrasia yao November mwaka jana. Sisi je, ushikaji, undugu, u yakhe, unini , uule n.k.

Inawezekana ana sifa maana alikuwa U.N. Who knows. Yote yanaweza kuwa sawa.

?? Are you for or against ??
Huyu ndugu ana uzoefu mzuri tu mimi na question docile nature yake na kama ni appropriate at this day and time kwenye international forums.
 
Kama vile ambavyo taarifa zipo kuwa kila majina matatu yanayotakiwa kupelekwa kwa vetting ni lazima mawili yawe ya Waislam or at least one!!! It means asikosekane katika list!!!! Na kwa sababu you think you are minority then ni lazima Athman na Asha wateuliwe/kupitishwa. Kwa mtindo huu, ndiyo maana tunaona utendaji ulivyo kwa sasa. Soma alama za nyakati mzeee. Wenzako wajanja wana mix au kutafuta vichwa vya kuleta ufanisi. Mbona tusiangalie hata mheshimiwa Obama katika uteuzi??? Alitafuta vichwa hata kama vilikuwa karibu naye lakini hakufanya makosa na kila Wamarekani wanafurahia kwa kutumia vema Demokrasia yao November mwaka jana.

Maane, hivi ulitegemea katika vetting hakutakuwa na probability ya kumpata muislamu ndani ya majina matatu??? OMG...Kwahiyo ulitaka achague dini gani katika hayo majina matatu??? ya kingunge??? Na huyo Obama aliowachagua unajua dini zao??? Weka data kama mteuliwa anafaa au hafai!!!! Treni nyingine hawdandii kwa mbele zinatumia umeme (au umeme jua)
 
?? Are you for or against ??
Huyu ndugu ana uzoefu mzuri tu mimi na question docile nature yake na kama ni appropriate at this day and time kwenye international forums.


Safiiii. Tudondosheeni CV yake. Among, ionyeshe umri. Hapo tutaona his/her appropriateness!!!!

Mimi nataka vetting ya high level appointments ifanyike na Bunge kwa maswali ya Wazi kama kule marekani na kwingineko ambako kuna demokrasia ya kweli. Apointees wote waitwe mbele ya Bunge kwa maswali.
 
Maane, hivi ulitegemea katika vetting hakutakuwa na probability ya kumpata muislamu ndani ya majina matatu??? OMG...Kwahiyo ulitaka achague dini gani katika hayo majina matatu??? ya kingunge??? Na huyo Obama aliowachagua unajua dini zao??? Weka data kama mteuliwa anafaa au hafai!!!! Treni nyingine hawdandii kwa mbele zinatumia umeme (au umeme jua)


Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Give me a glass of pure and safe water. I will use tha elecricity to boil the water to kill the germs of nepotism. Nitadandia kwa mbele na sitapata shot ya umeme.
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Give me a glass of pure and safe water. I will use tha elecricity to boil the water to kill the germs of nepotism. Nitadandia kwa mbele na sitapata shot ya umeme.

hahahaaaaa, umeniweza maana kama waweza dandia treni ya umeme kwa mbele!!! YAngu macho

My point is clear, before we oppose, we need to have justifications of our acts... ARE YOU COMFORTABLE TO PROVIDE SOME??
 
?? Are you for or against ??
Huyu ndugu ana uzoefu mzuri tu mimi na question docile nature yake na kama ni appropriate at this day and time kwenye international forums.



I am neutral!!! Only the processes!!!!!!?????!!!!
 
Safiiii. Tudondosheeni CV yake. Among, ionyeshe umri. Hapo tutaona his/her appropriateness!!!!

Mimi nataka vetting ya high level appointments ifanyike na Bunge kwa maswali ya Wazi kama kule marekani na kwingineko ambako kuna demokrasia ya kweli. Apointees wote waitwe mbele ya Bunge kwa maswali.

BUNGE LENYEWE LIPI HILO??? la kingunge na Makamba??? hivi wewe uko sirias kuwakabidhi akina zungu wamhoji mwanadiplomasia wetu... si watasema kafulia!!!

We need 400 years kuwa na demokrasia ya USA
 
hahahaaaaa, umeniweza maana kama waweza dandia treni ya umeme kwa mbele!!! YAngu macho

My point is clear, before we oppose, we need to have justifications of our acts... ARE YOU COMFORTABLE TO PROVIDE SOME??

In one of my earlier posts nimeomba mwenye CV yake fully anidondoshee hapa. Yaani ile VC ya Kitanzania ambayo ina most of data na si kama zile za Ki-international ambazo zinafuata format fulani ambazo hazichukua mambo yote.
 
BUNGE LENYEWE LIPI HILO??? la kingunge na Makamba??? hivi wewe uko sirias kuwakabidhi akina zungu wamhoji mwanadiplomasia wetu... si watasema kafulia!!!

We need 400 years kuwa na demokrasia ya USA


Hapo mkuu wangu umenena. Yaani nilichokoza makusudi hapa. Kwa Bunge letu labda sijui tufanye nini, maana wale majority wetu watabaki kumfurahisha mkuu wao tu, not serious kumpitisha. Labda tuwakodi Wabunge either wa Uingereza au Marekani watufanyie kazi kwa hilo. Vinginevyo nepotism kama kazi.

Imagine ule uchaguzu wa UVCCC levels mbalimbali walikuwa ni watoto wa vigogo tu na kwa hakika wangepita kama mzee fulani hakukemea na wengi wao wakaondolewa. It was a shame of its own kind/nature.
 
In one of my earlier posts nimeomba mwenye CV yake fully anidondoshee hapa. Yaani ile VC ya Kitanzania ambayo ina most of data na si kama zile za Ki-international ambazo zinafuata format fulani ambazo hazichukua mambo yote.

Sawa, pia unaweza ku-google ukaanza kupata baadhi ya blah..blah maana sidhani kama kuna mtu atakupa hiyo CV!!! Sijui!!
 
Safiiiii. Sina utaalam sana wa majina, especially femine names!!! Je huyu ni mwanamke au mwanaume??? Ila angalao najua ni jina la Kiislam. Hongera mzee wa kaya. Fadhila unazijua. Kama vile ambavyo taarifa zipo kuwa kila majina matatu yanayotakiwa kupelekwa kwa vetting ni lazima mawili yawe ya Waislam or at least one!!! It means asikosekane katika list!!!! Na kwa sababu you think you are minority then ni lazima Athman na Asha wateuliwe/kupitishwa. Kwa mtindo huu, ndiyo maana tunaona utendaji ulivyo kwa sasa. Soma alama za nyakati mzeee. Wenzako wajanja wana mix au kutafuta vichwa vya kuleta ufanisi. Mbona tusiangalie hata mheshimiwa Obama katika uteuzi??? Alitafuta vichwa hata kama vilikuwa karibu naye lakini hakufanya makosa na kila Wamarekani wanafurahia kwa kutumia vema Demokrasia yao November mwaka jana. Sisi je, ushikaji, undugu, u yakhe, unini , uule n.k.

Inawezekana ana sifa maana alikuwa U.N. Who knows. Yote yanaweza kuwa sawa.

Udini, No! Zahra Nuru ni mama mwenye historia ya uchapakazi na wala sidhani kwamba ameteuliwa kwa misingi ya udini. Ingawa atakuwa ameshapita umri wa kustaafu anaweza kutoa msaada mzuri kwa Rais. Huyu mama alishawahi kufanya kazi enzi za Mwalimu Nyerere kwenye Cabinet Secretariat if I remember correctly. Pia kama nakumbuka sawasawa alishawahi kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya at one point wakati wa Mzee Ruksa. Vile vile anao uzoefu wa kutosha katika nafasi aliyopewa kutokana na kufanya kazi UN.

Sasa mtu wa aina hii ambaye CV yake imesheheni uzoefu aachwe tu kwa sababu ya jina lake la 'Zahra'?

Hili la kuteua majina ya Kiislamu lisitutishe kwa sababu uteuzi wa aina hiyo haubadilishi misimamo ya dini zingine wala kupunguza idadi ya waumini individuals wa dini zingine. Tutishike pale tutakapoanza kuona wanatumia madaraka yao vibaya kwa misingi ya dini zao.
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Give me a glass of pure and safe water. I will use tha elecricity to boil the water to kill the germs of nepotism. Nitadandia kwa mbele na sitapata shot ya umeme.


Mbona hujaomba CV au vetting kwa wale majaji kumi walioteuliwa na JK? au kwa sababu huyu humjui kama ni mwanamme au mwanamke? nadhani unalakojambo. wtaku-wind up na utalisema, nasubiri.
 
MAANE GONGA HAPAhttp://www.tanzania.go.tz/newf.html


Asante mkuu Kobe. Ila umeunganisha hapa na httt:...Nitainukuu na kuifanyia kazi if at all the our national website inakuwa updated promtly jambo linapotokea.
 
hahahaaaaa, umeniweza maana kama waweza dandia treni ya umeme kwa mbele!!! YAngu macho

My point is clear, before we oppose, we need to have justifications of our acts... ARE YOU COMFORTABLE TO PROVIDE SOME??
Cheers
 
Mbona hujaomba CV au vetting kwa wale majaji kumi walioteuliwa na JK? au kwa sababu huyu humjui kama ni mwanamme au mwanamke? nadhani unalakojambo. wtaku-wind up na utalisema, nasubiri.

Waje sasa hivi kuni-wind up, rolling up, bending up, etc. Siwaogopi. Basi na waje hapa watufafanulie uozo wote uliopo. Shitishiwi mimi. Ndipo hapa watashangaa tutakapotizamana uso kwa uso hawataamini kuwa ni mimi naandika hapa. Sana sana nitawaambia nimechoka na wanifukuze kazi!! Naamini umenipata kidogo hapo!!!!!!!!! Hapa kwenye jamvi tuko wengi!!!! wa aina tofauti tofauti!!!!!!! Karibu.

N.B Majaji wote wako juu ndiyo maana sijawaulizia!!!!!!! Kuna la zaidi kaka/dada??
 
Waje sasa hivi kuni-wind up, rolling up, bending up, etc. Siwaogopi. Basi na waje hapa watufafanulie uozo wote uliopo. Shitishiwi mimi. Ndipo hapa watashangaa tutakapotizamana uso kwa uso hawataamini kuwa ni mimi naandika hapa. Sana sana nitawaambia nimechoka na wanifukuze kazi!! Naamini umenipata kidogo hapo!!!!!!!!! Hapa kwenye jamvi tuko wengi!!!! wa aina tofauti tofauti!!!!!!! Karibu.

N.B Majaji wote wako juu ndiyo maana sijawaulizia!!!!!!! Kuna la zaidi kaka/dada??
Si kuchoka unafrustrations zako. Haya huyo mama hayuko juu? Yah unapaswa pia kutambua hauko peke yako hata mie watashangaa naandika hopeful tutakutana wanapotufukuza. Lakini hii haijastify kutokuwa wakweli tuache kukurupuka. Tutumie akili zetu kwa busara maana mtundiko wako umejaa jazba
 
Back
Top Bottom