BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Na Boniface Meena
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Zahra Nuru kuwa msaidizi wa rais wa masuala ya diplomasia.
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,Ikulu jana na Katibu Mkuu Ikulu, Michael Mwanda, kwa niaba ya Katibu Mkuu Kiongozi, inaeleza Nuru anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Andrew Daraja ambaye alihitimisha mkataba wake wa utumishi wa umma.
Nuru aliwahi kuajiriwa na Umoja wa Mataifa kabla ya mkataba wake kumalizika alikuwa Mtaalam na Mshauri Mwandamizi wa Katibu Mkuu Msaidizi na Mshauri Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Afrika.
Source: www.mwananchi.co.tz
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Zahra Nuru kuwa msaidizi wa rais wa masuala ya diplomasia.
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,Ikulu jana na Katibu Mkuu Ikulu, Michael Mwanda, kwa niaba ya Katibu Mkuu Kiongozi, inaeleza Nuru anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Andrew Daraja ambaye alihitimisha mkataba wake wa utumishi wa umma.
Nuru aliwahi kuajiriwa na Umoja wa Mataifa kabla ya mkataba wake kumalizika alikuwa Mtaalam na Mshauri Mwandamizi wa Katibu Mkuu Msaidizi na Mshauri Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Afrika.
Source: www.mwananchi.co.tz