Rais Abdel Fattah El-Sisi afafanua kwanini hawezi kuruhusu Wapalestina waingie Misri. Asema itakuwa ni ujinga na kuisaidia Israel katika malengo yake

Wakimbizi huwa hawarudigi kwao mpaka sasa hivi hapa Tanzania kuna wakimbizi ambao hawataki kurudi kwenye nchi zao
 
Huyu Israeli karibu kitampata kilichompata Ujerumani, dunia karibu itawachoka na ukatili wao. Hata wale waliokua wakiwatetea kwa mtazamo wa kidini wameanza kuelewa Waisraeli ni wahuni tu hawana dini.
Hujui historia.

Hakuna watu wabaya na wa hovyo kama waarabu.

Mwaka 1948 Taifa la Israel lilipotambuliwa rasmi na Umoja wa mataifa, waarabu walianza kuwapiga wayahudi, wakitamka wazi kuwa Taifa la Israel na Wayahudi hawatakiwi kuwepo Duniani, msimamo ambao umeendelea kushikiliwa na Iran na makundi ya kigaidi anayoyafadhili, kama kundi la Hamas na Hizbollah.

Yaser Arafat alipofanya makubaliano ya Israel, makundi haya ya kogaidi yalimwua, kwa sababu haya makundi ya kigaidi na Iran hawataki kabisa kuwa na suluhu yoyote na Wayahudi.

Hata Abbas alipoanza kuonesha ukaribu na Israel, Hamas walianzisha vita vya wapalestina (wenyewe kwa wenyewe), na wakafanikiwa kuiondoa Gaza kutoka kwenye utawala wa serikali ya Abbas.

Maadam Iran inayolea makundi ya kigaidi ipo, hakuna makubaliano yoyote yatakayoleta amani kwa wapalestina na Wayahudi.
 
Maadam Iran inayolea makundi ya kigaidi ipo, hakuna makubaliano yoyote yatakayoleta amani kwa wapalestina na Wayahudi.
Maadam Us anaendelea kusapoti magaidi ya Kizayuni hakuna makubaliano yoyote yatakayoleta amani kwa wapalestina na Wayahudi.
 
Mkuu bila shaka mzozo huu umeanza kuufuatilia baada ya Hamas kashambulia Israel wiki iliyopita.

Kimsingi jeshi la Israel limekuwa likivamia na kutwaa makazi ya Wapelestina kila siku. Ni vile mainstream media haziripoti tu.

Hakika wanaofuatilia vitendo vya jeshi la Israel kwa Wapelestina wanaelewa lengo la Hamas kufanya shambulio hilo.

Kwanini Netanyahu alikuwa anaisaidia serikali ya Ghaza kujiimarisha hadi shambulio hili ndio kawaona wabaya?
Wewe ulitaka israeli washangilie baada ya kushambuliwa..? Acha gaza ipasuliwe na unafiki ndio umewajaa nyie watu wakiislam. Uzuri ni kuwa hizo ni kelele za chura hazimtishi muisraeli.
 
Al Sisi anaona mbali, kwanza akiwaruhusu waingie misri wataendeleza ugaidi wao wakitokea misri na kupelekea misri ipokee kipigo kisa kuwafuatilia magaidi wa kipalestina na kupelekea kuvunjika mkataba wa amani wa camp david kati ya misri na israel. Kama vipi jordan iwapokee, naona waziri wake wa mambo ya nje povu jingi linamtoka kuhusu kichapo wanachopata magaidi wa hamas. Au waende iran kwa baba lao la ugaidi duniani
 
hivi mbona hatuoni msimamo wa urusi na mataifa mengine makubwa kama china yameegemea upande upi kwenye huu mzozo
Wapo kimya sana kwenye hili swala
 
Pindi Israel iliposhambuliwa hatukuona shtuma au matamko kutoka kwa waarabu na waislamu kipindi Ukraine ilipovamiwa na urusi waukraine walikufa wengi wenu mlimuunga mkono urusi sasa Israel inaamua kujilinda yenye tunaona makelele kote duniani ndio mjue dunia imejaa unafiki na upendeleo.

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Mbona wacongo wanakufa kila siku sijawahi kukusikia ukipiga kelele au kwa sababu weusi kama wewe
 
Katika mazungumzo yake na chansela wa Ujerumani muda mfupi uliopita, Raisi El Sisi wa Misri amesema hawezi kufanya maamuzi ya kijinga kuruhusu wapalestina kutoka Gaza waingie nchini humo kama wakimbizi.

Akasema hilo inaonekana kama ndio lengo la Israel ilipowataka warudi kusini mpakani na nchi yake na kwa kuwakatia maji.

Amesema kufanya hivyo ni kama kuruhusuj Israel ije kuifanyia Misri ugaidi huko mbeleni kwani wapalestina wataendelea kuidai nchi yao kutokea majangwa ya Sinai na kwengineko Misri.

Vile vile maamuzi hayo akiyafanya yatasababisha ghasia zaidi kutoka kwa wanachi wake watakaonza kuingia mabarabarani kumpinga.

Kwa upande mwengine waziri wa mambo ya nchi za nje wa Jordan ameonesha hasira kubwa kwa namna Israel inavyoendeleza mgogoro huo na kusema kinachotakiwa kwa sasa ni kusitisha vita mara moja na si mazungumzo.

Hayo ameyasema wakati raisi wa Marekani akianza safari za kujaribu kufanya mazujngumzo na nchi za Kiarabu.
Jamaa ni mzalendo wa kweli
 
Katika mazungumzo yake na chansela wa Ujerumani muda mfupi uliopita, Raisi El Sisi wa Misri amesema hawezi kufanya maamuzi ya kijinga kuruhusu wapalestina kutoka Gaza waingie nchini humo kama wakimbizi.

Akasema hilo inaonekana kama ndio lengo la Israel ilipowataka warudi kusini mpakani na nchi yake na kwa kuwakatia maji.

Amesema kufanya hivyo ni kama kuruhusuj Israel ije kuifanyia Misri ugaidi huko mbeleni kwani wapalestina wataendelea kuidai nchi yao kutokea majangwa ya Sinai na kwengineko Misri.

Vile vile maamuzi hayo akiyafanya yatasababisha ghasia zaidi kutoka kwa wanachi wake watakaonza kuingia mabarabarani kumpinga.

Kwa upande mwengine waziri wa mambo ya nchi za nje wa Jordan ameonesha hasira kubwa kwa namna Israel inavyoendeleza mgogoro huo na kusema kinachotakiwa kwa sasa ni kusitisha vita mara moja na si mazungumzo.

Hayo ameyasema wakati raisi wa Marekani akianza safari za kujaribu kufanya mazujngumzo na nchi za Kiarabu.
Wa Arab wa Misri, wanaumia Wayahudi wanavyoua Wa Arab wenzao wa Palestine, lakini, hawapo tayari kuwaona Wapalestina wakiwa wakimbizi kwenye nchi yao.
 
Pindi Israel iliposhambuliwa hatukuona shtuma au matamko kutoka kwa waarabu na waislamu kipindi Ukraine ilipovamiwa na urusi waukraine walikufa wengi wenu mlimuunga mkono urusi sasa Israel inaamua kujilinda yenye tunaona makelele kote duniani ndio mjue dunia imejaa unafiki na upendeleo.

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app

Ni chuki dhidi ya wayahudi. Anti semitic.
 
Wa Arab wa Misri, wanaumia Wayahudi wanavyoua Wa Arab wenzao wa Palestine, lakini, hawapo tayari kuwaona Wapalestina wakiwa wakimbizi kwenye nchi yao.
Hiyo ni sahihi kabisa.Kosa lao kwanini hawawapelekei misaada ya chakula na maji kwa lazima.Hakuna sababu ya kuomba ruhusa kumuokoa mtu.
Ukiona mtu ametumbukia kwenye maji basi kama unajua kuogelea hata akiwa mke wa mtu nenda kamshike unapoweza umtoe nje.
 
Hapo ndipo huwa sipaelewi kabisaa na wale mateka watu hawawazungumzii kabisa aiseee, na kuna mamia ya wa Israel walikufa lakini kimya wana walilia Palestine tu duh!
Waisrahell warejeshwe kwenye ardhi zao za kabla ya mwaka 48 uone kama kuna mtu atawaua ila kwa hapo wanapopakalia kimabavu dawa yao inayowastahili nakuwa pendeza nikifo tuuu
 
Jamani waswahili tujikite kwenye mambo yanayo tuhusu, mbona hatujawahi kua na nyuzi nyingi kukemea Uganda na Rwanda wanao semekana kuitesa Kongo ambao ni majirani zetu kabisa miaka nenda rudi🤔🤔 au kukemea vita vinavyo endelea kwenye nchi nyingi za kiafrika🤔🤔tuache unafki waswahili.
Tusipangiane cha kujadili mkuu, hili ni jukwaa huru.

huko kwingine jikite wewe ukitaka.
 
Back
Top Bottom