Du subiri tu Dec. kumpata Kibaki for 2nd term!
Sijui kwa nini Raila na team yake hawataki kukubali tsunami ya Kibaki- wasubiri tu hadi 2012! Hakuna neno!
Raila kama anataka Tanzania 2010 au Uganda basi aseme mapema- ila shirikisho kwa sasa bado!
Mimi na vote kwa Raila, kutokana na mwenendo wa siasa za Kenya kwa sasa, hasa baada ya Keneth Matiba kujitosa kuwania Urais kitu ambacho kuna uwezekano Kibaki akagawana kura na Matiba kutoka centre Kenya. but still Ngoma ni nzito
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.