Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
ajabu sana aiseeDuuh! Sikujua kuna watu bado wako zamani kiasi hiki.
ajabu sana aiseeDuuh! Sikujua kuna watu bado wako zamani kiasi hiki.
Muda Si Mwingi Atagalagazwa tuu Wee tuliaNilijua umepata taarifa bibie kagaragazwa!!!!
hapa tunazungumzia uwezo wa mwanamke kwenye uongozi ......hata Yesu hakumwamini mwanamke ndio maana katika wanafunzi wake hakukua na mwanamke hata mmoja......Wanawake wanatakiwa wakae nyumbani walee familia na si vinginevyo.....
War monger clinton ameshashinda huko dixvile,Nilijua umepata taarifa bibie kagaragazwa!!!!
Ni Sehem Ndogo Kati Ya Sehem Kubwa anayomilikiwa na MarekaniWar monger clinton ameshashinda huko dixvile,
Hillary Clinton wins Dixville Notch midnight vote - CNNPolitics.com
Endelea kulala uote vizuri mkuu.Trump anakwenda kushangaza ulimwengu kwa kuinuka kidedea, anayebisha awake dau.
HahahahaAcha uongo,mimi mwenyewe nafuatilia updates kupitia vyombo vya habari vya huko na hawajaanza kutoa matokeo ya awali.