Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Utakubaliana na mimi kuwa katika maisha kuna wakati binadamu huwa ana kile kinachoitwa FEAR OF THE UNKNOWN,nakuapia hv niandikapo niko kijiji cha shagihilu,hawajui kinachoendelea kuhusu zito zaidi ya bei ya pamba yao kushuka
Zitto nimaarufu twita tu