mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
.
Huo ndio mkataba wa Yondani alionguka wakati anaichezea Simba mnamo mwaka jana.....Na huku madeni ya maharage akionesha picha iliyotolewa na baadhi ya mitandao ya kwamba Yanga wamemsainisha Yondani jana usiku. Sasa hawa Yanga wamemsainisha Yondani mwaka jana mwezi wa 11 au jana usiku?
Jamani nani mkweli hapo?
Huo ndio mkataba wa Yondani alionguka wakati anaichezea Simba mnamo mwaka jana.....Na huku madeni ya maharage akionesha picha iliyotolewa na baadhi ya mitandao ya kwamba Yanga wamemsainisha Yondani jana usiku. Sasa hawa Yanga wamemsainisha Yondani mwaka jana mwezi wa 11 au jana usiku?
Jamani nani mkweli hapo?